Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
aiseee hata wewe kumbe unamchekea lee kiunafki Mkushiongeza Dau maana kuna watu tuna plan kumpa heka 2000
aiseee hata wewe kumbe unamchekea lee kiunafki Mkushiongeza Dau maana kuna watu tuna plan kumpa heka 2000
Seriously! Nakutumia anuani uje na maua na fanta orange, usisahau na kuku wa kuchemshwa pilipili kidogo na vocha
SN: Niko poa kwa sasa
nilijua tu binamu halaf unapenda fanta orange eenh
1972 - Watergate scandal: Wafanyakazi Watano wa Ikulu ya Marekani wanakamatwa ndani ya ofisi za Chama cha Democrats baada ya kuingia kiwiziwizi kwa lengo la kwenda kutegesha vifaa vya kurekodia mazungumzo ya Wapinzani.
Kashfa hii ilikuja kumsababisha Rais wa kipindi hiko wa Marekani, Richard Nixon kujiuzulu wadhifa wake.
Asante kwa kuongezea nyama
Mauaji yaliwaaibisha na kuwaudhi FBI
Achana na Pretty Boy Floyd walikuwepo pia wahalifu sugu enzi hizo akina John Dilinger na Babyface Nelson ambao waliisumbua FBI na Marekani kwa ujumla![]()
Ila FBI chini ya Edgar J Hoover ikafanikiwa kuwanyamazisha kimyakimya
Bwana mkubwa Hoover ndo muanzilishi wa FBI na aliifanya kama mali yake binafsi ila aliiendesha kwa weledi na akadumu kwa muda mrefu sana sababu kila Rais alimuogopa kumtumbua ili asivujishe siri zao chafu
.....
binamuuu hivi kweli we ni mgonjwaAsante kwa maombi na ile kusema tu unakuja yaani tayari viungo vimechangamka, yaani ninajihisi kupona na nimepoteza nguvu zangu kwenda kwa dokta usiku, ilhali wewe maneno yako tu tiba tosha
HBD Kendrick1987 - Kendrick Lamar anazaliwa.
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani.
yaan mama mchuchu kajisahau mama yangu jamaan Baba D asije akasusaMama mchungaji leo umenunua kesi, ila kwa wewe tumekusamehe
Ila mwanao shunie atacheka sana
Nitaweka masharti kuwa wakuzuie kuja kuniona, tena RB yako naifuata saa hizi. Naona unaleta utani kwenye mambo ya msingi. Mimi naumwa

Asante kwa leo katika historia mkuu musoliniLeo Katika Historia:
Niwatakie wikiend njema.
ni kweli amepitiwaMama usiquote story yote ...naamini umepitiwa tu
ila shemela wewe unataka tuanze kuliliwa mapema yote hiiUmeishampata shemeji yetu?
hahahhahNimepigwa mkwara na mgonjwa, nahisi ameshapona
atarudi shem kuna mambo yamembanaSijampata nilimuachia kazi binamu yake
jamaan binamu...acha zako, mimi sijapona sema nimekataa wewe usiambatane na BH kuja kuniona. Na nimewatangazia ndugu zangu kuwa umeniroga, sasa ni juu yako kuongozana naye au kukumbana na ndugu zangu wenye hasira kali za mfungo

Akiwepo jenitaijaribu hii siku moja tena kwenye vodka ya Baba D akiwa ametoka
tumekusamehe mama kuwa na amaniKweli kabisa nimesoma mpaka nikasinzia nikasahau ni hadithi ndefu yaani mnisamehe kwa uzembe huu uzee huu sasa
Asante kwa kuyapitia shemela wangu wa ukwelishemela wa mie asante kwa magazeti