Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
I miss you momKaribu T wa Sakayo za uzima? We miss you
I miss you momKaribu T wa Sakayo za uzima? We miss you
1933 - Kansas City Massacre: Makachero wanne wa FBI na mhalifu mmoja Frank Nash wanauwawa na kundi la Wahalifu liliongozwa na Mhalifu sugu Pretty Boy Floyd.
Hii ni baada ya FBI kumkamata Frank Nash na Pretty Boy kuja na kundi lake kwa kujaribu kumuokoa Nash.
Baada ya tukio hili kulitokea mabadiliko makubwa ndani ya FBI hasa kwa Makachero wake kuanza kutembea na silaha muda wote ili kuweza kupambana na Magenge ya kihalifu yaliyotikisa miaka hiyo.
Na hapo ndipo mwanzo wa kuibuka kwa Katili wa FBI, J. Edgar Hoover na kudili ipasavyo na magenge hayo hatari.
Pamoja kamandaAsante kwa nukuu mkuu transcend
Hhaaa!1933 - Kansas City Massacre: Makachero wanne wa FBI na mhalifu mmoja Frank Nash wanauwawa na kundi la Wahalifu liliongozwa na Mhalifu sugu Pretty Boy Floyd.
Hii ni baada ya FBI kumkamata Frank Nash na Pretty Boy kuja na kundi lake kwa kujaribu kumuokoa Nash.
Baada ya tukio hili kulitokea mabadiliko makubwa ndani ya FBI hasa kwa Makachero wake kuanza kutembea na silaha muda wote ili kuweza kupambana na Magenge ya kihalifu yaliyotikisa miaka hiyo.
Na hapo ndipo mwanzo wa kuibuka kwa Katili wa FBI, J. Edgar Hoover na kudili ipasavyo na magenge hayo hatari.
PamojaYah ni kweli kiongozi wakat mwingine kujigawa huwa ni shida kwa kweli,ila unapopata wasaa usisite kutupia
Nadhan Nash mc katoa huku jina1933 - Kansas City Massacre: Makachero wanne wa FBI na mhalifu mmoja Frank Nash wanauwawa na kundi la Wahalifu liliongozwa na Mhalifu sugu Pretty Boy Floyd.
Hii ni baada ya FBI kumkamata Frank Nash na Pretty Boy kuja na kundi lake kwa kujaribu kumuokoa Nash.
Baada ya tukio hili kulitokea mabadiliko makubwa ndani ya FBI hasa kwa Makachero wake kuanza kutembea na silaha muda wote ili kuweza kupambana na Magenge ya kihalifu yaliyotikisa miaka hiyo.
Na hapo ndipo mwanzo wa kuibuka kwa Katili wa FBI, J. Edgar Hoover na kudili ipasavyo na magenge hayo hatari.
Mc wangu bora kwa siku za karibun1987 - Kendrick Lamar anazaliwa.
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani.
Asante mkuuLeo Katika Historia:
Niwatakie wikiend njema.
Ni kweli ndugu. Huu Uzi kwajili ya kupeana taarifa na mambo mbalimbali ili kuongeza maarifa katika ubongo wetu.Kwema mdau
Afadhali umekuja.....kuna pipo zinafikiri huu uzi ni kwa ajili ya kushindana na watu fulani au kupeana maLIKE
Wewe ni mfano mzuri japo umeanzisha uzi lakini huingii kila muda ili kupost post bali unapopata muda tu....
Hivyo waelewe uzi sio wa mashindano ya kupost wala kupeana maLIKE bali kudumisha urafiki na kupeana maarifa mawili matatu
......
Mama D yuko wapi?Umeongeaaa vyemaaaa
Duniani kumepita majemedari wa kila aina.
Mauaji yaliwaaibisha na kuwaudhi FBI
Achana na Pretty Boy Floyd walikuwepo pia wahalifu sugu enzi hizo akina John Dilinger na Babyface Nelson ambao waliisumbua FBI na Marekani kwa ujumla![]()
Ila FBI chini ya Edgar J Hoover ikafanikiwa kuwanyamazisha kimyakimya
Bwana mkubwa Hoover ndo muanzilishi wa FBI na aliifanya kama mali yake binafsi ila aliiendesha kwa weledi na akadumu kwa muda mrefu sana sababu kila Rais alimuogopa kumtumbua ili asivujishe siri zao chafu
.....
kho kho kho wazee wa one night stand kuna kaukweli hapa jamaan
Point mkuu...!Ni kweli ndugu. Huu Uzi kwajili ya kupeana taarifa na mambo mbalimbali ili kuongeza maarifa katika ubungo wetu.
Swala la likes ni kama support Tu. Mtu akija kwenye huu Uzi ili kupata likes anakosea Sana.
Tupo Kwa ajili ya urafiki na kupeana taarifa muhimu.
nitaijaribu hii siku moja tena kwenye vodka ya Baba D akiwa ametoka