Makapuku Forum

Makapuku Forum

519911403bb698d2fe03d0eb5f519a72.jpg
I see
 
ZABURI 5

3.BWANA, Asubuhi utaisikia sauti yangu. Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.

Baba asante kutuamsha salama tunaomba toba kwa makosa yote tunayofanya kwa mawazo maneno na matendo tunaomba uturehemu,tunajikabidhibkwako jumamosi ya leo tuponye,tuongoze ,tutunze,tufariji sawa na mapenzi yako .Linda wasafiri tuokoe katika hatari zote za mwili na roho tunaomba yote kupitia mwanao Yesu Kristo Amen

SIKU NJEMA WAPENDWA MBARIKIWE
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom