Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Asante mkuuAsante kwa UF na dondoo za BBC, nawe pia siku njema
Asante mkuuAsante kwa UF na dondoo za BBC, nawe pia siku njema
Jiongeze mkuu dokta wa usikuBinamu vipiii tena ? Tatizo gan tena
Mim niko salama kabisa
Pole Obe unaendeleaje? Mungu akuponye, uko wapi nije nikuone nikujulie hali

Shikamoo mamaAsante sana![]()
Hii movie sijui mwisho wake wataonesha behind the scenes ??
Speed kali
AmenZABURI 5
3.BWANA, Asubuhi utaisikia sauti yangu. Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.
Baba asante kutuamsha salama tunaomba toba kwa makosa yote tunayofanya kwa mawazo maneno na matendo tunaomba uturehemu,tunajikabidhibkwako jumamosi ya leo tuponye,tuongoze ,tutunze,tufariji sawa na mapenzi yako .Linda wasafiri tuokoe katika hatari zote za mwili na roho tunaomba yote kupitia mwanao Yesu Kristo Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA MBARIKIWE![]()
![]()

Ngojaa nichweekweeeee
AmeeeniiHuyu ni Mungu anayeleta n kuimarisha uhai
Habari ya asubuhi mkuu
Kwakweli inategemea na mambo mengi
Ajibu kaenda kweliii au magazetii??
Ila weweNimeshajibu mbona
Nimemuacha sababu ni mchawi
Na kwako pia kiongoziiiSiku njema makapuku
Hili gazetiii na korea jamaniii
Asante mkuu ngoja tuombe wamalize salama na Allah awaongozeMfungu 22 leo, bado siku 7 au 8! Ramadhan Kareem.