Makapuku Forum

Makapuku Forum

b77a9e6adf0139bb24b7604ad2ea3323.jpg
Ubarikiwe my dear
 
Ni kweli ndugu. Huu Uzi kwajili ya kupeana taarifa na mambo mbalimbali ili kuongeza maarifa katika ubongo wetu.

Swala la likes ni kama support Tu. Mtu akija kwenye huu Uzi ili kupata likes anakosea Sana.

Tupo Kwa ajili ya urafiki na kupeana taarifa muhimu.
Eti tuahindane kupost makorokoro km vilemwxrddg &%$$&%$$ /_/___&$-- au mtu kujisemesha semesha page nzima ili uzi uwe na kasi sijui post nyingi


Likes hukaa kwenye profile lakini maandishi ya mtu hukaa moyoni
Mtu atakupenda,kuchukia kutokana na maandishi siyo maLIKE....kuna kipindi JF kurekebisha server na kulamtu huanza na like 0 (nafikiri unakumbuka)
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom