Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Kamanda kwema?Na yule mzee alikuwa mchawi?
Kamanda kwema?Na yule mzee alikuwa mchawi?
UshauriAnaumwa ujue nimemuomba tukamuone naomba twende wote
HakikaSawa mama
Utanijuza akikubali tukamuone tumpatie neno na pole
Atakuwa ameacha kule jela sio kuzuriAmekua mkubwa sana kwa mara ya kwanza nilimuona live alipodondoka kanisani kwa mama Lwakatare mlima wa moto acha kabisa sasa tuendelee kuomba ninachofahamu mtu akizoea kula nyama za watu kuacha ni kwa maombi mazito
Ndo nshakuwahiiHahaha
Fungu la kumi la mwisho ni kwa ajili ya mialiko ya kufuturu na Eid yenyewe ni special event
ameniZABURI 5
3.BWANA, Asubuhi utaisikia sauti yangu. Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.
Baba asante kutuamsha salama tunaomba toba kwa makosa yote tunayofanya kwa mawazo maneno na matendo tunaomba uturehemu,tunajikabidhibkwako jumamosi ya leo tuponye,tuongoze ,tutunze,tufariji sawa na mapenzi yako .Linda wasafiri tuokoe katika hatari zote za mwili na roho tunaomba yote kupitia mwanao Yesu Kristo Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA MBARIKIWE![]()
![]()
Mdau unakaa Kibaoni Zanzibar au ?Ajibu hawez kwenda Yanga
Tunaendelea vizuri Tunamshukuru MunguSalama kabisa mama
Nashukuru Mungu naendelea vyema
Familia haijambo?
Amen karibuNipo mama
Uwe na siku njema
Ubarikiwe sana
Vampire hawez achaAmekua mkubwa sana kwa mara ya kwanza nilimuona live alipodondoka kanisani kwa mama Lwakatare mlima wa moto acha kabisa sasa tuendelee kuomba ninachofahamu mtu akizoea kula nyama za watu kuacha ni kwa maombi mazito
Thibitishaatayari kashatua Yanga
Sio habar sahii sababu jamaa anamkataba had mwez wa 7tayari kashatua Yanga
Aende peke yakeeSawa mama
Utanijuza akikubali tukamuone tumpatie neno na pole
AmenNa kwako pia Kamanda
Hajasainiiii labda kama kasaini usikuuMdau unakaa Kibaoni Zanzibar au ?
Maana upo nyuma sana kupata habari
Ibrahim Ajibu kasaini jana Jangwani miaka miwili
Mimi Yanga lakini Ajibu ni mmoja wa wachezaji wa Simba niliokuwa nawaelewa....mwingine ni Zimbwe Jr
......
Niajeeeee mkuu
Thats kweliiiiiSio habar sahii sababu jamaa anamkataba had mwez wa 7