Bhinamu umeamka salama ??
Binamu vipiii tena ? Tatizo gan tenaAnko, asante kunijulia hali. Siko salama kivile, sema tu nashukuru maumivu yamepungua baada ya kumuona dokta usiku.
Vipi wewe
Asante sana

ZABURI 5
Baba asante kutuamsha salama tunaomba toba kwa makosa yote tunayofanya kwa mawazo maneno na matendo tunaomba uturehemu,tunajikabidhibkwako jumamosi ya leo tuponye,tuongoze ,tutunze,tufariji sawa na mapenzi yako .Linda wasafiri tuokoe katika hatari zote za mwili na roho tunaomba yote kupitia mwanao Yesu Kristo Amen
