Makapuku Forum

Makapuku Forum

6b27e3149afd61c5974437e9b190c9a8.jpg
 
ZABURI 5

3.BWANA, Asubuhi utaisikia sauti yangu. Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.

Baba asante kutuamsha salama tunaomba toba kwa makosa yote tunayofanya kwa mawazo maneno na matendo tunaomba uturehemu,tunajikabidhibkwako jumamosi ya leo tuponye,tuongoze ,tutunze,tufariji sawa na mapenzi yako .Linda wasafiri tuokoe katika hatari zote za mwili na roho tunaomba yote kupitia mwanao Yesu Kristo Amen

SIKU NJEMA WAPENDWA MBARIKIWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom