mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Ni jambo la kumshukuru munguYuko poa, Dada yako hajambo![]()
![]()
Ni jambo la kumshukuru munguYuko poa, Dada yako hajambo![]()
![]()
65 tu mydear. Converted to cash!Taja unataka wangapi Queen Demi
Ha ha ha ha ha ha ha.... Una urafiki na miss Chagga?65 tu mydear. Converted to cash!
Niko pouwa Shululu wa TT wa sakayo uko poa mkuu
Yule sio kiboko tu, yaani ni mamba kabisa. Bonge la fundi shanga mia 700

Wala hujarogwa kawaida tu mpendwaPale sijaharibu, hata wewe ukiangalia nimeuliza tu swali wala sikuwa na nia ya kujiharibia ila ulipoanza sasa maneno yako na Tumosa ndo mkaniharibia.
Niombeeni msamaha sasa maana mimi nimekosa hata cha kuongea, tangu lini mshumaa ukawa maua? Eti kweli husna muba yaani umenipa maua halafu nasema mshumaa, si nimerogwa mimi?!
ucjalMiss chagga ni binamu yangu! Mtoto wa baba mdogoHa ha ha ha ha ha ha.... Una urafiki na miss Chagga?
Asante Baba D wangu mimi kwa uf uwe na siku njema na weweTuwe na siku njema wanafamilia pendwa
Ila![]()
shikamoo mama mchuchu
..kama unavaa chache wewe, yaani yeye anavaa 700 na zaidi yaani akiwa anatembea utasikia mlio kama wa kifutu kwenye nyasi kavu shwa shwaaahsaaa

huyo mkude akwendee tu
shemela wangu mie asante kwa magazetiView attachment 523103Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho Kwa udhamini mnono wa Obe nawatakieni siku njema
mke mweee

We hujagundua anataka yale ya mama mchuchu hata kama ameokota barabarani,hata kama yamenyauka

Akuache VP sasa?!ebu nieka imi![]()
...ungeniambia mapema sasa, yaani unaniambia mwisho 🙁 tayari lishabuma, anyway nitamuomba tena anitumie halafu bila kuchelewa nasema asante nyiiingi
obe wewee hurumia mbavu zangu
Asante MussolinLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
NAHUMU 1
7.Mwenyezi Mungu ni mwema, yeye ni ngome ya usalama wakati wa taabu, Yeye huwalinda wote wanaokimbilia kwake.
MUWE NA SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()
![]()

endelea kupendaAkuache VP sasa?!
Endeleeni mi nimependa hiyo lugha