Makapuku Forum

Makapuku Forum

1977 - James Earl Ray anakamatwa siku tatu baada ya kutoroka Jela.

James Eark Ray alikuwa ni muuaji wa Mwanaharakati Martin Luther King Jr
ba4552883b9b803384726874ea68352a.jpg
ce9d17dd4eb7c83c0eb57354cd1a7fb0.jpg

FBI noma sana walimsaka usiku na mchana
......
 
Hiyo huenda kulikuwa na wakubwa Jeshi ni/serikalini wenye maslahi binafsi na Mauaji ya tembo/wanyamapori ndiyo maana wakazingua maana askari anamtii mkubwa wake kijeshi au wa serikalini sasa hapo watu wameegemea maslahi yao halafu nje wanatuzuga
Ni tofauti na suala la Kibiti ambalo siyo la kimaslahi bali kiusalama zaidi
.....
Nimekusoma.
 
1982 - Fahd anakuwa Mfalme wa Saudia punde baada ya kifo cha kaka yake, Khalid.
8fda67cd4b3e3a42e792c163994f103b.jpg
6dc0b8ef28041ff257537ceb2ad30a97.jpg
02454f73c45ba470dae38de4d666021b.jpg

Jina lake kamili ni Fahd bin Abdulaziz al Saud
Alifariki 2005 Agosti
Ni mtoto/mjukuu wa mwasisi wa Taifa hilo Al Saud ambaye ndio chimbuko la jina Saudi Arabia ambalo kibongobongo ni Waarabu wa Saud yaani wanachi wake(siyo tafsiri kamili)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom