Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1977 - James Earl Ray anakamatwa siku tatu baada ya kutoroka Jela.
James Eark Ray alikuwa ni muuaji wa Mwanaharakati Martin Luther King Jr
FBI noma sana walimsaka usiku na mchana
......
1977 - James Earl Ray anakamatwa siku tatu baada ya kutoroka Jela.
James Eark Ray alikuwa ni muuaji wa Mwanaharakati Martin Luther King Jr
View attachment 523103Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho Kwa udhamini mnono wa Obe nawatakieni siku njema
Nimekusoma.Hiyo huenda kulikuwa na wakubwa Jeshi ni/serikalini wenye maslahi binafsi na Mauaji ya tembo/wanyamapori ndiyo maana wakazingua maana askari anamtii mkubwa wake kijeshi au wa serikalini sasa hapo watu wameegemea maslahi yao halafu nje wanatuzuga
Ni tofauti na suala la Kibiti ambalo siyo la kimaslahi bali kiusalama zaidi
.....
1981 - Katika Sherehe za Trooping the Colour zilizofanyika London, Kijana Marcus Sarjeant anajaribu kumshambulia Malkia Elizabeth wa II kwa risasi hewa.
Asante nawe piaLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Majengo ya townUnalinzi nini?
Asante asubuhi njema....kwa kuwa nimedhamini magazeti leo kwanza nashukuru halafu namtaka kila Kapuku anywe chai na chapati kwa hela yake.
Good morning good people.
Unamlinda nani humu na wewe bado Unafikiria kati yangu na Obe umkubali yupi?
silindi watu wa humu mkuu. Nalinda majengo ya town sasa usiku silali nakuwa macho1982 - Fahd anakuwa Mfalme wa Saudia punde baada ya kifo cha kaka yake, Khalid.
NAHUMU 1

Asante nawe piaMorning wadau wote
Muwe na siku njema
....
1996 - Kikundi cha Kihalifu cha Montana Freemen chajisalimisha mara baada ya mapambano na majibizano ya siku 81 dhidi ya Makachero wa FBI.
2000 - Italy yamuachia huru kijana Mehmet Ali Agca aliyejaribu kumuua Papa John Paul wa II.
Khaa!1977 - James Earl Ray anakamatwa siku tatu baada ya kutoroka Jela.
James Eark Ray alikuwa ni muuaji wa Mwanaharakati Martin Luther King Jr
Vita tamu ukishinda..1996 - Kikundi cha Kihalifu cha Montana Freemen chajisalimisha mara baada ya mapambano na majibizano ya siku 81 dhidi ya Makachero wa FBI.
Pouwa mkuu..Habari za asubuhi