Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wengine hukimbilia Colombia na Mexico ambako bei ya operesheni hizi ni ndogo. Tatizo huko sasa madaktari wengine ni makanjanja na matokeo yake ndiyo haya. Wengine wanapoteza mpaka maisha. Nitakuwekea hapa katika stupid criminals kesi moja ya kushangaza sana na mabinti kama watano walifariki wakijaribu kuongeza makalio. Ni shida!


Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
 
binamu lakini umeanza mwenyewe kuharibu ujue na mishumaa yako


Pale sijaharibu, hata wewe ukiangalia nimeuliza tu swali wala sikuwa na nia ya kujiharibia ila ulipoanza sasa maneno yako na Tumosa ndo mkaniharibia.

Niombeeni msamaha sasa maana mimi nimekosa hata cha kuongea, tangu lini mshumaa ukawa maua? Eti kweli husna muba yaani umenipa maua halafu nasema mshumaa, si nimerogwa mimi?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom