Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila hii ripoti ukiipitia inakuacha na maswali lukukii na kuzidi kukukanganya kwa mawazo yangu lakini ..mfano ripoti imesema kuhusu kuondoa hisa za serikal katika mikataba hii ya madini toka 15% mpaka 0% na mawaziri tofauti ok hatujui walifanya kwa maksudi au manufaa yapi ? Lakini sasa ukipitia sheria ya madini ya 73 yr na kurefer mikataba ya awali ya Acacia unaona Acacia wana hati ya kufanya hivo ..

Mambo ambayo tungelipata pa kuanzia kutokana na matokeo ya ripoti mfano nani waziri aliyeingia makubaliano ya 15% huo mwaka 1994 make nakumbuka vyema kulitokea mabadiliko ya mawaziri make 1990 hii wizara ilikuwa maji nishati na madini chini ya Jakaya Kikwete mpaka 1994 ...mwaka huo huo 1994 mpaka 1995 aliingia Jackson Makweta ...ingeweka wazi mwezi upi hii 94

Na wakati inaondolewa 10 nan alikuwa juu ya jambo hili ...waziri au mkuu wa nchi ??

Ila kiukweli Tanzania ina wenyewe kwa dizaini hii
Huyo unayemtaka awekwe hagusiki, alishaambiwa wewe pumzika
 
e6a3f3e53b3c8d16d323012a0297ca30.jpg
Shemeji za wewe
 
Kasome katiba
Marais wana kinga ya kutoshtakiwa hivyo hata mkiwapeleka Mahakamani Jaji/Hakimu atawaambia hao marais hawana kesi ya kujibu na kuwaachia tu huru maana wanashtakiwa kinyume cha katiba
Hivyo kuwataja akina JK Na Mkapa ni kupoteza muda
Hivyo km mmemind mkawashtaki tu mbinguni
Tatizo ni katiba mbovu
...........
Ila Kuna mmoja alisaini mkataba akiwa waziri, je hapo sheria inasemaje
 
1942 - Walter Rodney anazaliwa.

Alikuwa ni msomi, mwanaharakati kutoka nchini Guyana.

Moja ya kazi yake ni kitabu cha " How Europe Underdeveloped Africa ". Kitabu ambacho Wazungu hawakukipenda.

Alifundisha chuo kikuu cha Dar Es Salaam miaka ya 1970's.

Aliuwawa kwa bomu lililotegwa kwenye gari lake mwaka 1980.
Aisee, HBD and RIP Walter Rodney
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom