Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,906
Kwenye stupid criminal namba one crashed sijaona kituAnapostiwa sana. Pengine ndiye yeye!
hongereni jamaan
Waniyeja gete Ng'wana Abdulah nkanyabape mfuma nyanza...Gadeem nadhani ni sawa na kusema "magigoganoko" <= Mamihayo gabubi nkoyiIshi! Gashinagha, olowiza na second kwesheni okodrop na one pipo yaani unitag nizhe nadegeleke bila kolya madeghele yaani stupid little fish gete fisherman ng'wana abdulah nkanyabape mfuma nyanza. Eti gadeem ni nini?


Pale sijaharibu, hata wewe ukiangalia nimeuliza tu swali wala sikuwa na nia ya kujiharibia ila ulipoanza sasa maneno yako na Tumosa ndo mkaniharibia.
Niombeeni msamaha sasa maana mimi nimekosa hata cha kuongea, tangu lini mshumaa ukawa maua? Eti kweli husna muba yaani umenipa maua halafu nasema mshumaa, si nimerogwa mimi?!
binamu ngoja tumosa aje kwanza ujue binamu unajiharibia mwenyewe we ungesema asante tu hata kama haujayapendaaiseee shanga 700 amezivaaje binamu
Azaghotoka pee
..kama unavaa chache wewe, yaani yeye anavaa 700 na zaidi yaani akiwa anatembea utasikia mlio kama wa kifutu kwenye nyasi kavu shwa shwaaahsaaa
aisee binamu sasa zina raha gani hizo
ebu nieka imiAzaghotoka pee

Unajua bagheshi nataka nibadilishe I'd nijiite MWANAMABUSHEGHEWaniyeja gete Ng'wana Abdulah nkanyabape mfuma nyanza...Gadeem nadhani ni sawa na kusema "magigoganoko" <= Mamihayo gabubi nkoyi
Nkanyabape = mtongoza weupehttp://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/7f99b2c0f906aa31a75eac8a241cf5b9.jpg" class="bbImage lazyload" data-zoom-target="1" style="" alt="7f99b2c0f906aa31a75eac8a241cf5b9.jpg" title="" width="" height="" />
![]()
![]()
binamu ngoja tumosa aje kwanza ujue binamu unajiharibia mwenyewe we ungesema asante tu hata kama haujayapenda
hahaha binamu tunakuambiaje mapema haujataka kutushirikisha sie ndio hivyo akija na wewe mrudishie maua aliyokupa sijui ndio mishumaa...ungeniambia mapema sasa, yaani unaniambia mwisho 🙁 tayari lishabuma, anyway nitamuomba tena anitumie halafu bila kuchelewa nasema asante nyiiingi
![]()
![]()
aisee binamu sasa zina raha gani hizo
...unaniuliza mimi tena? Kwani me ndo nazivaa😵? Me nazipenda tu
sasa unazipendaje nyingii hivyo jaman 700 aisee sijawahi sikia hata kiunoni zote zinakaaje binamuKwangu naona ipo sawa. Ni huyu kijana aliyejifotoa akiiba mafuta kutoka katika gari ya polisi huku akiwapa mido finga na baadaye akaiweka hiyo picha Facebook polisi wakaishia kumdaka...Kwenye stupid criminal namba one crashed sijaona kitu
Shunie Umeamini kabisa kwamba mimi ni msambaa eeh?ebu nieka imi![]()
nimeamini asilimia mia iwe ni wa hiiShunie Umeamini kabisa kwamba mimi ni msambaa eeh?
Usiwe na wasiwasi. Nitaacha kukutania...Basi wewe mtani wangu hamna neno.... Hofu yangu kupitia mgongo wangu usiwakwaze wengine bagheshi..... Ulihaya kinehe
Mimi sio msambaa Shunie... Wala sijawahi kuishi Sambaani.nimeamini asilimia mia iwe ni wa hii