Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Boss wa aganzaumemuitia nani
Sijibu ng'ooakikujibu niite
Kulikoni mkuuCc Nyagei
Usisahau Je wajua maana unajisahau sanaNyagei hiyo kesi imalize mwenyewe mm naleft nitakuchek baadae....
Jioni njema na usiku mwema wakuu..
One love ndugu zangu wote wa humu..
Kama nilivyokuambia kabla ndivyo ilivyokasema umepost picha ya mdogo ake![]()
![]()
Kumbe uliionahalaf ujue shemela kuna kipindi alishaiweka ile kama avatar yake
shululu ndiye msemaji wakehivi ukipotea ghafla tumuulize nanii unayeaminiana nae
Mndali ndanyelakakomu kapotea nahisi atakuwa yupo na aganza maana wote hawaonekanikwahiyo lee anahusika vipiii usitafune maneno we ongea tu
Nilikuona sehemuSijui nini kinaendelea hapa, ebu ngoja nikaze jicho la tatu kwanza
Salama kabisa, vipi weweSalama shemela
Katibu nini kinaendeleahapo ndio alipokuita nyagei
Labda nirudie mwanzo mm nilipita juu juu
irudie tu sijaelewa nyagei kukuitia aganza
Achana nayo mm sirudiii ...aganza kwa lipi
Aganza ni boss wa Lee
me sijui Baba D
sawa
Niache nimalizie vijambo
Nasikia eti shem ni kikongwe anakinyonya kitoto kidogo cha form sixDaby na Vale kuna mtu kawafungulia uzi
Nikupe no yake uamini?
nipeeeee
Nimekutumia pm
![]()
![]()
pm ipiii hiyo shemela
Dah huu wivuNjo pm
nakuja baba angu
Haaaaahaaaa
shemela wangu jamaan mbona umefurahi hivyo
Ulivyoenda faster pm, wakati Kwangu ulikuwa huijui
hahaha lakini ni kweli shemela yako lini nimeijua mie jaman
Kwani umesahau mambo ya uogeleajiHow special I'm ....baby una followerz zaidi ya 45 ila mm pekee ndo nna access ya pm yako .....
Thanks baby
Habari yako mkuuhuku habari ni njema sana mkuu
Hapo unayumba ondoa neno mtima weka maneno haya NIFUNDISHE NIPATE KUMJUA MUNGUMama Mchungaji, sema neno tu, basi walau mtima wangu upone.
Uwe na wakati mwema mamaVery true, RIP Mother Theresia![]()
Utaandika ngonjera, mashairi ya kila namna, utaimba kila wimbo, hata ukilia hautopenya katika fikra zake kikubwa endelea kuomba upewe neno la uzimaMpaka na mi niweke leaving certificate ndio nitaonekana mtu mzima humu? Huyo Obe nilimwambia kila zama na watu wake. Kama alikuja na ngonjera za "eyo wasapu" obviously lazima aonekana joti to my BlessedHope.
Mkuu vile vitu vipi au mpaka mwezi uishebado sana
Utakuwa tu salamaHii forum haitaniacha salama, sio kwa mwendokasi huu