Huko mimi hapana aiseeHamna
Hutakiwi kuwasimanga uwakutao huko maana umeenda mwenyewe
Ni km Padri aingie CASINO halafu aanze kupiga kelele
Mi nilienda ili tu nijue kuna nini baada ya hapo wala siyo mdau wa huko maana pia ukitaka unaomba kuEXIT km ulivyoomba kujoin ukiona hujapapenda
........
Hahaaa!Hamna
Hutakiwi kuwasimanga uwakutao huko maana umeenda mwenyewe
Ni km Padri aingie CASINO halafu aanze kupiga kelele
Mi nilienda ili tu nijue kuna nini baada ya hapo wala siyo mdau wa huko maana pia ukitaka unaomba kuEXIT km ulivyoomba kujoin ukiona hujapapenda
........
Sawa sawa kwahiyo mdogo wako aje kuwekwa na nyagei
Leo birthday ya sakayo jamani...
Najaribu kumpiga picha nitume ila kila nikijaribu anachukua simu yangu...
Stay tuned! Nitamuotea tuu hata akiwa amelala...
Ni uamuzi binafsi wa mtuHuko mimi hapana aisee
Huwezi labda tu uwe "unauchuna kuchungulia"Hahaaa!
Hivi huwezi kuleft kienyeji ?
Ni uamuzi binafsi wa mtu
Huwezi labda tu uwe "unauchuna kutochungulia"
.....



na mnajua mliopo huko? Sijui ndo alikuwa anakuzengea wewe wakati huo..... Manake sisi vidume tukitafuta mitetea utashangaa..... Waweza likuta dume linakuna nazi. Sasa wewe lidharau ulione bwege... Utashangaa.

Ufafanuzi unatosha mdauna mnajua mliopo huko?
Ila ukiomba kutolewa unatolewa eeh?
Aaaaa! BroohTunafanana na dogo langu nilimpa hiyo picha aiweke makusudi ila sio mimi..
Mm sio dogo huyo.
Salaaale!Ufafanuzi unatosha mdau
Km unapataka nenda
Tuyaache
........
Una uzoefu na haya mambo eeh! Kuna mtu sasa umempachika udada. Kumbe dume zima upo wakuna nazi. Ole wake yule jamaa akikudharau na kukuona bwege. Atakuta mtetea si wake♂️
♂️
♂️

Mwambie aseme ukweliAaaaa! Brooh
Kwema lakini?
Wengine watasema ni wewe! Wengine watasema sio wewe.!
naendelea vizuri tu shem hofu kwakoSalama kabisa shem wane
Unaendeleaje na hali?
mpaka kwanguHahaha hivi vituko ni mpaka kwa shem au ni huku tu
wapi hukoNimekuita mahali bhana
Ukipendwa kuringa muhimu dadaangume mwenyewe hata sijui hivi nimekuaje halaf na ubishi umezidi