Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kwann usiweze kujianika?,Huyu ni mdogo wangu sio mm.
Simply tu siwez kujianika hapa
kweli Baba D labda kaituma kwako
Niko salama kabisa dear namshukuru MunguAmina mamy..
Uko salama lakini wewe???! Nimekumiss tuu
Njema mkuu Shedede upo?Wakuu habar
How special I'm ....baby una followerz zaidi ya 45 ila mm pekee ndo nna access ya pm yako .....kweli Baba D labda kaituma kwako
Nimefurahi uko salama, za uzima? Za siku? Mungu akubariki sana, tunakumisMama Mchungaji namsalimu sana jamani naomba salamu zake hizi mmfikishie!!
Mwambie mkubhi hajambo
SafiMambo ni vipi wanajukwa la makapuku!?!?
Very true, RIP Mother Theresia

you are so special to me my love more than the way u thinkHow special I'm ....baby una followerz zaidi ya 45 ila mm pekee ndo nna access ya pm yako .....
Thanks baby
nakupenda Baba D wangu jamaan hata sijui nielezee vipiiihaha! mimi sijapata eti![]()
![]()
kwani we hujapata mwenzio
Hamna shidahahhah basi imeishia njiani
huhuhu... aya buana mimi nawacheki tu
huku habari ni njema sana mkuuWakuu habar
Sanaaamama yangu umefurahi sana naona hapo umemkumbuka mukongo
poyeeehaha! mimi sijapata eti
mama mchuchu unaitwa hapaaaMama Mchungaji, sema neno tu, basi walau mtima wangu upone.
YumYum Happy Birthday Sakayo wa T Mungu akubariki sana