Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sasa bagheshi unanipigia ndogo ndogo kwa dadaangu?..... Dadaangu huyo ujue... Mi namuheshimu sana.
Ukimkuta yuko mtupu anakoga utajiziba macho kwa kiganja na kurudi nyuma kimbelembele kisa eti ni dadako? Tuanzie hapo kwanza hasa ukizingatia kuwa mfalme Daudi (shujaa wa imani) alifeli huu mtihani...
 
Ukimkuta yuko mtupu anakoga utajiziba macho kwa kiganja na kurudi nyuma kimbelembele kisa eti ni dadako? Tuanzie hapo kwanza hasa ukizingatia kuwa mfalme Daudi (shujaa wa imani) alifeli huu mtihani...
Hayo majaribu sasa...... Mimi nilishamwambia kwamba mtihani huo utanishinda.... Sio kwamba simuheshimu.... Only that the stimulus is too strong to stay aloof.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom