shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Wewe ndio alikuzidi kiulaini sana, maana mlikuwa wawili tuIla nimeshangaa mzee wa kuvizia alikupiga chenga akapiga 200k kiulaini
Wewe ndio alikuzidi kiulaini sana, maana mlikuwa wawili tuIla nimeshangaa mzee wa kuvizia alikupiga chenga akapiga 200k kiulaini
Unajikaa leoAnakuwa ni mchezaji mzuri kwenye mechi za kawaida kwenye big game anapotea kama Ozil![]()
![]()
![]()
Cc Mussolin5 200k
Mkuu, Aganza anahusikaje hapa?Cc aganza
Unataka ujimwage huko niniMmh..
Okey..
Ukimkuta yuko mtupu anakoga utajiziba macho kwa kiganja na kurudi nyuma kimbelembele kisa eti ni dadako? Tuanzie hapo kwanza hasa ukizingatia kuwa mfalme Daudi (shujaa wa imani) alifeli huu mtihani...Sasa bagheshi unanipigia ndogo ndogo kwa dadaangu?..... Dadaangu huyo ujue... Mi namuheshimu sana.![]()
![]()
![]()
Tuko pamoja Mzee wa Kung'oa. Halijaharibika neno...We wang'oe tu ikiwezekanaUmenielewa vibaya mkuu..... Sina maana hioooo



Inawezekana kweliSidhani kama alisikia
Unanichonganisha na Rafiki kipenz unajua?Tuko pamoja Mzee wa Kung'oa. Halijaharibika neno...We wang'oe tu ikiwezekana![]()
Hapana mkuu..Unataka ujimwage huko nini
JoohUmeongea jambo la moyoni
Salute kwako
Kumbe uliquoteBaba D asante jamaan ila nimecheka sana![]()
kafumania mchumba ake na kupigwa kapigwa mtu umeshaona mchumba ako ana baunsa unakufa na tai shingoni utajua mbele kwa mbele ila mam mtu mbaya sana
![]()
huyu jamaa kapigwa jamaan kama nimemuona ila pole yake sana kwa kipigo cha baunsa
Ni hivyo hamna zaidiHapana mkuu..
Nahisi watakuwa wanadiscuss porn tuu..
Hayo majaribu sasa...... Mimi nilishamwambia kwamba mtihani huo utanishinda.... Sio kwamba simuheshimu.... Only that the stimulus is too strong to stay aloof.Ukimkuta yuko mtupu anakoga utajiziba macho kwa kiganja na kurudi nyuma kimbelembele kisa eti ni dadako? Tuanzie hapo kwanza hasa ukizingatia kuwa mfalme Daudi (shujaa wa imani) alifeli huu mtihani...
Hahaaa! Hayo mambo naachia kina nanii..Ni hivyo hamna zaidi
Mimi mwenyewe sio muumini wake kabisaHahaaa! Hayo mambo naachia kina nanii..
Mimi huwa sina mzuka na hayo madude !
Unauliza bangi Longido?Hivi hilo jukwaa la 18+ lipo kweli?

Now we are talking! Kama upo karibu na Mangi hapo kamata Balimi mbili nitakuja kulipaHayo majaribu sasa...... Mimi nilishamwambia kwamba mtihani huo utanishinda.... Sio kwamba simuheshimu.... Only that the stimulus is too strong to stay aloof.


