Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hamna
Hutakiwi kuwasimanga uwakutao huko maana umeenda mwenyewe
Ni km Padri aingie CASINO halafu aanze kupiga kelele
Mi nilienda ili tu nijue kuna nini baada ya hapo wala siyo mdau wa huko maana pia ukitaka unaomba kuEXIT km ulivyoomba kujoin ukiona hujapapenda
........
Aiseeee
Basi Sawa mkuu, huko sina hata mpango napo kabisaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom