Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Hinda Deby Into
9a0fe1afbf6130e402b50953396e9d51.jpg
fda3a5fd15586f9843f48119f2c6509b.jpg

Ndiye First Lady wa huko Chad
Ana umri wa miaka 37
.....
Mweupeeeeee!
 
Nawaona hawana michongo ya kidwanzi kama yako na mwenzako.

Natengeneza mazingira nichukue mrembo sakayo nyie mnaleta mishe ambazo siyo.

Subiri na vyie wanaume watakuja watawatongoza acheni kumuonea wivu mwenzenu.

Sema ndiyo tabia zenu nyie wanawake...Lee empire na Nyagei!
id mpya kazi yake inakuaga hivi kutukana watu au kuingia kwa lengo maalum
 
TOP TEN
Week end uanza Ijumaa hivyo kama kawaida yangu baada ya kuijngiza mbuzi bandani kutoka malishoni nikashtua togwa kidogo na vitumbua vya 300/= na kujisikia fresh...Now nashusha 10 kubwa zen naendelea na starehe zangu
.
.
Km kawa Ijumaa hatujadili siasa wala uchumi
Hakuna ubishi kwa Tanzania Mama Salma Kimwete ndo First Lady mwenye mvuto wa sura na umbo kuliko wote ....huyu mama Janet ana sura ngumu jamani

Sasa basi nakuletea Mafirst Lady 10 wenye mvuto zaidi barani Afrika kwa mwaka 2016 hivyo wengine inawezekana wameshaondoka Ikulu
Karibuni
.....
Asante mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom