Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Chantal Biya
4917bfc5ba670cdc0ceb5bcad0d9401e.jpg
1ce6999511f78aeb21be0e54258985f6.jpg
7f6e16741c091639c1e943f454ec5815.jpg

Ana umri wa miaka 45
Huu ndio usingizi wa "babu" Paul Biya wa Cameroon.....vijana tafuteni pesa !!
Ni maarufu kwa kufanya matanuzi ya kila aina
Anapebdelea zaidi kwenda Paris kuchukua viwalo na makorokoro mengine
.....
 
Thanks Mkuu shimba ya Buyenze.

Kila kitu ni kupambana Mkuu.
Nimeona nijitokeze hapa hapa kuonesha kuwa nina nia nzuri tu kwa huyu mrembo ambae amekuwa akinisumbua ndotoni kwa muda mrefu.

Pia kujitokeza wazi wazi ni jambo nzuri sana kuliko wale wanaokimbia kwenda PM.
Mkuu

This is the second time..!

Mimi najaribu kuwa msaarabu kwa kuwa napenda diplomasia..

Sasa na wewe kuwa msataarabu..!

Hapa jf sie hatuigizi! We have life out of jf..so take this serious.

Otherwise tutaonana wabaya humu.

Achana na sakayo.
 
Siwezi kujadili mvuto wa mwili wa mwanamke kwa sababu hakuna sifa jumuishi za kimalimwengu zinazokubalika na kila mtu. Na kufanya hivyo, kwa maoni yangu, ni kupoteza muda tu. Mimi binafsi napenda vibonge lakini siwezi kuweka hapa picha ya mwanamke kibonge ndiyo nidai eti huyu ndiye mrembo wakati huo huo mtu kama Nyagei akiona mwanamke kibonge anatamani hata kukimbia.
be1a80ddb2f0d812f13612fc29e9d5d7.jpg
Ndiyo maana hapo juu nimesema kila mtu na lwake; na nikakimbia kabisa. Samahani kama nazingua lakini natoa maoni yangu tu kama ilivyo kawaida. Au unataka wote tuseme mrembo, mrembo, mrembo kama wengine wanavyofanya? Mrembo, mrembo, mrembo...kwa mujibu na vigezo vya nani? Vyako wewe?

Na kuhusu ugumu wa sura ya Mrs. Magufuli hiyo ni ishu nyingine ambayo kwa maoni yangu haina hata hadhi ya kujadiliwa hapa. Endelea kushusha hao "warembo" mkuu. Usikwazike !
Oyaa hebu nyamANZAA BANAA
UNAnkata stimu bitoz muache afanye kazi yake
 
Siwezi kujadili mvuto wa mwili wa mwanamke kwa sababu hakuna sifa jumuishi za kimalimwengu zinazokubalika na kila mtu. Na kufanya hivyo, kwa maoni yangu, ni kupoteza muda tu. Mimi binafsi napenda vibonge lakini siwezi kuweka hapa picha ya mwanamke kibonge ndiyo nidai eti huyu ndiye mrembo wakati huo huo mtu kama Nyagei akiona mwanamke kibonge anatamani hata kukimbia.
be1a80ddb2f0d812f13612fc29e9d5d7.jpg
Ndiyo maana hapo juu nimesema kila mtu na lwake; na nikakimbia kabisa. Samahani kama nazingua lakini natoa maoni yangu tu kama ilivyo kawaida. Au unataka wote tuseme mrembo, mrembo, mrembo kama wengine wanavyofanya? Mrembo, mrembo, mrembo...kwa mujibu na vigezo vya nani? Vyako wewe?

Na kuhusu ugumu wa sura ya Mrs. Magufuli hiyo ni ishu nyingine ambayo kwa maoni yangu haina hata hadhi ya kujadiliwa hapa. Endelea kushusha hao "warembo" mkuu. Usikwazike !
Siku hizi sichagui mkuu nawapenda wote sio wembamba wala wanene wote ni sawa
 
Nawaona hawana michongo ya kidwanzi kama yako na mwenzako.

Natengeneza mazingira nichukue mrembo sakayo nyie mnaleta mishe ambazo siyo.

Subiri na vyie wanaume watakuja watawatongoza acheni kumuonea wivu mwenzenu.

Sema ndiyo tabia zenu nyie wanawake...Lee empire na Nyagei!
Acha ufala mazoea yasizidi mipaka ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom