Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uwe unakuja kwangu nikupoze machungu ya kukosa maua


tgif-everybody-dance-now.gif

giphy.gif
 
Ukiwachunguza vizuri utagundua Marastafarrah wengi hawana makuu na mtu
Nimeshakaa ghetto moja kwa miaka 2 na msela mvuto bhangi balaa tukiwa Sekondari lakini ni mtu poa kabisa hana ugomvi na mtu na hadi leo urafiki wetu unaendelea
Bangi zao waachie wao angalia tu utu/matendo yao
....
Da kweli banaa
Hicho ndio muhimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom