Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mdau sijamjudge
Leo hatuongelei maendeleo
Hapa tunaongelea mvuto wa mwili hata mtu awe mwizi/fisadi potelea mbali
.....
Ila mama yetu mkuu sasa ni stress zaidi,jamani stress inabadili sana muonekano wa sisi wamama,hakika yule mama ana kila kitu mama anachostahili kuwa nacho only anapitia changamoto...MOYO ULIOTULIA NI DAWA YA MWILI
 
8/Olive Lembe di Sita Kabla
54efa94cf907f12fef9a2611839ae4c7.jpg
205aa031e5dfe64b8d5462a666a93508.jpg
a3e593964898828dcd590fb3b61930a2.jpg

Ndiye first lady wa DRC itakuwa ndo anayemshauriJoseph Kabla aendelee kungangania Ikulu
Alikuwa ndo First Lady kijanazaidi
Ana umri wa miaka 40
.....
Ni mrembo hasa
 
Mdau sijamjudge
Leo hatuongelei maendeleo
Hapa tunaongelea mvuto wa mwili hata mtu awe mwizi/fisadi potelea mbali
.....
Personal and political bias huwezi kuzificha mpaka unanukuu statement za Mange. Janeth ndiye ana sura ngumu kuliko ma-first lady wote? Na mvuto wa mwili wa mwanamke unaupimaje? Kuna universal attributes za mvuto wa mwili wa mwanamke? You are treading on a philosophical landmine here. Ingekuwa kwenye jukwaa jingine thread hii isingeishi muda mrefu. Anyway, ni kila mtu na lwake ‍♂️‍♂️‍♂️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom