Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siwezi kujadili mvuto wa mwili wa mwanamke kwa sababu hakuna sifa jumuishi za kimalimwengu zinazokubalika na kila mtu. Na kufanya hivyo, kwa maoni yangu, ni kupoteza muda tu. Mimi binafsi napenda vibonge lakini siwezi kuweka hapa picha ya mwanamke kibonge ndiyo nidai eti huyu ndiye mrembo wakati huo huo mtu kama Nyagei akiona mwanamke kibonge anatamani hata kukimbia.
be1a80ddb2f0d812f13612fc29e9d5d7.jpg
Ndiyo maana hapo juu nimesema kila mtu na lwake; na nikakimbia kabisa. Samahani kama nazingua lakini natoa maoni yangu tu kama ilivyo kawaida. Au unataka wote tuseme mrembo, mrembo, mrembo kama wengine wanavyofanya? Mrembo, mrembo, mrembo...kwa mujibu na vigezo vya nani? Vyako wewe?

Na kuhusu ugumu wa sura ya Mrs. Magufuli hiyo ni ishu nyingine ambayo kwa maoni yangu haina hata hadhi ya kujadiliwa hapa. Endelea kushusha hao "warembo" mkuu. Usikwazike !
OK
.....
 
5/Zeinab Suma Jamneh
5698234ad37affdd486687810cee2dda.jpg
799bcdd9eb9a7a9e8eae35b1ed39c1d0.jpg
da82e4f4c357f652ec39f73c37e3efbf.jpg

Alikuwa First Lady wa Gambia hadi juzijuzi Yahya Jammeh alipotolewa madarakani na Jeshi la ECOWAS baada ya kushindwa Uchaguzi na Kigoma kutoka Ikulu
Yahya Jammeh ana mke mwingine pia aitwaye Alima Sallah
......
 
Zab 23: bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu ......

Kwani marasta wanaamini biblia?!

Kipisi cha bange ili apige pafu kaburini
Ukiwachunguza vizuri utagundua Marastafarrah wengi hawana makuu na mtu
Nimeshakaa ghetto moja kwa miaka 2 na msela mvuto bhangi balaa tukiwa Sekondari lakini ni mtu poa kabisa hana ugomvi na mtu na hadi leo urafiki wetu unaendelea
Bangi zao waachie wao angalia tu utu/matendo yao
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom