shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mdororo wa mapenziNaona umetoa picha ya Shedede. Fungate imeisha au ni mdororo wa mapenzi?
Msalimie Shedede. Siku kadhaa sijamuona hapa. I hope he is OK!

Mdororo wa mapenziNaona umetoa picha ya Shedede. Fungate imeisha au ni mdororo wa mapenzi?
Msalimie Shedede. Siku kadhaa sijamuona hapa. I hope he is OK!

Ni jambo la kumshukuru aliye juu.Imetawalaa
Wallah vile nimekuwa nikikuona humu na kufuatilia namna unavyohendo maisha ya humu JF. Hakika unafaa!Sio kweli
Toka hapaKumbe Unamkumbuka eeh? Haya langu jicho
Naona unawafuatilia kwa ukaribu sanaAcha kumuita shunie mkuu ni shemeji wako
Huyo ni mke wa mtu na mumewe yupo humuNdiyo hivyo...Shunie!
Mwenye nia nzuri huweka mambo wazi Mkuu!
Hakuna lisilowezekana chini ya mbinguHaitakaa iwezekane
TokaNikuambiee nn
Aisee dahMwenyewe hajui halipoo
Ameona inamzibia rizik
Sijuii yuko wapi naeNawaooonaaa
Ngoja mr T killer aje
Huo ndiyo ukweli!Mmmmh
Acha habari zako, we usinisanifu hapa.
Kama ulikuwa ukiniona humu ni dhahiri wajua niko na mume...
Na kama ni mmu basi una id ingine, unajua hii id yako ni ya Jana???? Sasa sema ukweli
Kweli kabisaaNi jambo la kumshukuru aliye juu.
Huo ni uchochezi sasaNaona umetoa picha ya Shedede. Fungate imeisha au ni mdororo wa mapenzi?
Msalimie Shedede. Siku kadhaa sijamuona hapa. I hope he is OK!
Kazi ipooWallah vile nimekuwa nikikuona humu na kufuatilia namna unavyohendo maisha ya humu JF. Hakika unafaa!
Moyo wangu umekuridhia!
Una mitego na wewe!!!Kabisaa.
Hapo ndo nitamwelewa
UmeonaeeKama mtu hajanyongwa sijui
Niko makiniNaona unawafuatilia kwa ukaribu sana
Nakuonaa nakuonaaaAcha kumuita shunie mkuu ni shemeji wako