mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Tunamlindia T...... au tumsaliti?Nakuoooonaaaaaa......
Tunamlindia T...... au tumsaliti?Nakuoooonaaaaaa......
Yumo8/Olive Lembe di Sita Kabila![]()
![]()
![]()
Ndiye first lady wa DRC itakuwa ndo anayemshauriJoseph Kabila aendelee kungangania Ikulu
Alikuwa ndo First Lady kijanazaidi
Ana umri wa miaka 40
.....
Anapitia changamoto gani? Inaonekana mnamjua vilivyo mpaka stress zake. Leteni ubuyuIla mama yetu mkuu sasa ni stress zaidi,jamani stress inabadili sana muonekano wa sisi wamama,hakika yule mama ana kila kitu mama anachostahili kuwa nacho only anapitia changamoto...MOYO ULIOTULIA NI DAWA YA MWILI



AmeeeeeeeenDalali naona una details zote dah!
Nadhani yupo katika mishe za kusaka pesa. Biashara yake, kama zilivyo zingine, ni ya kusafiri safiri sana. Akipata mwanya atarudi. Mungu Ambariki na kumshika mkono huko aliko.

Mi naangalia mwelekeo wa binamu kwanzaNdiyo hivyo hakuna namna Mkuu.
Natumai utakuwa mpambe mwisho wa siku!
Mbona unazingua mdauPersonal and political bias huwezi kuzificha mpaka unanukuu statement za Mange. Janeth ndiye ana sura ngumu kuliko ma-first lady wote? Na mvuto wa mwili wa mwanamke unaupimaje? Kuna universal attributes za mvuto wa mwili wa mwanamke? You are treading on a philosophical landmine here. Ingekuwa kwenye jukwaa jingine thread hii isingeishi muda mrefu. Anyway, ni kila mtu na lwake♂️
♂️
♂️
Mondray ndiyo nani kwani?Wanasema ni Mondray sijui Monde or something. Mapenzi ni kikohozi ati!
NduuukiiiiiTunamlindia T...... au tumsaliti?
Hana anachokijua ni mchochezi tuDalali naona una details zote dah!
Nadhani yupo katika mishe za kusaka pesa. Biashara yake, kama zilivyo zingine, ni ya kusafiri safiri sana. Akipata mwanya atarudi. Mungu Ambariki na kumshika mkono huko aliko.
Ha ha ha ha ha ha ha ha.... Sijui na wewe kama moyo wako umesalimika.Nakuooonaaaa
T amekufanya ung'areeee
Amekufanyaa ung'areeee. ...teee t
Nakuonaaa unavopendwaaaaa
Ili iweje?Kwani mwenyewe anakujua ??
Mzeewakungoa, ulishafika wapi na Shunie wako? Nasikia nawe umeishia kuwa mlinzi kama Shedede. Ni kweli?Tunamlindia T...... au tumsaliti?
Sawa siyo mbaya ni mapito tu.Utajisumbua bure
Nikiitegua ubinamu utakufa ujueItegue basi
Ha ha ha ha ha ha ha haHakyamama wewe nakugawa.....
Sio kwa ushambenga huo
Zab 23: bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu ......

Wewe ni KE au ME?Bado ana uandishi wa kitoto
Stupid Criminals wa leo wanakujia sasa hivi. Kama kuna mtu anajua ambako naweza kuwapata stupid criminals wa kwetu huku Afrika (ya Mashariki) basi anitonye. Na kesho mjiandae kwa falsafa - thread mpya ambayo itakuwa inawajia siku za wikiendi tu pekee.
