Makapuku Forum

Makapuku Forum

feea10a87f42fde7c701bf565b05c2f3.jpg
 
Unaongea kwa kujiamini saaana....

Anyway, karibu jf mie naitwa Sakayo mke halali wa T, dadake Shunie na shemeji wa watu wote humu ndani....

Asante kwa kunipenda ila mie tayari ni mke wa mtu!!!!

Karibu jf kuwa free, ila heshima iwepo...... Nakukumbusha tu mie ni mke wa mtu.....


Take care
Haya ndo nilikuwa nataka useme mwaaaaaanzo kabisaaaaa ...sasa umempa hope atasumbua kiasi flani.
 
Mbona unazingua mdau
Nimetaja tu kwavile yeye ndo First Lady wa sasa

Wajadili hawa ninaowapost siyo umekomaa nae
Kumbuka maneno yangu hawawezi kubadilisha urembo wake km ni mrembo kila mtu anajua and vise versa is true
....
Siwezi kujadili mvuto wa mwili wa mwanamke kwa sababu hakuna sifa jumuishi za kimalimwengu zinazokubalika na kila mtu. Na kufanya hivyo, kwa maoni yangu, ni kupoteza muda tu. Mimi binafsi napenda vibonge lakini siwezi kuweka hapa picha ya mwanamke kibonge ndiyo nidai eti huyu ndiye mrembo wakati huo huo mtu kama Nyagei akiona mwanamke kibonge anatamani hata kukimbia.
be1a80ddb2f0d812f13612fc29e9d5d7.jpg
Ndiyo maana hapo juu nimesema kila mtu na lwake; na nikakimbia kabisa. Samahani kama nazingua lakini natoa maoni yangu tu kama ilivyo kawaida. Au unataka wote tuseme mrembo, mrembo, mrembo kama wengine wanavyofanya? Mrembo, mrembo, mrembo...kwa mujibu na vigezo vya nani? Vyako wewe?

Na kuhusu ugumu wa sura ya Mrs. Magufuli hiyo ni ishu nyingine ambayo kwa maoni yangu haina hata hadhi ya kujadiliwa hapa. Endelea kushusha hao "warembo" mkuu. Usikwazike !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom