Makapuku Forum

Makapuku Forum

(4) Huyu Bibi akikuomba "kiss" ni afadhali tu ukubali. Ukikataa yanaweza kukupata makubwa
97afeec3f7b678433adb68717a5ccd43.jpg
 
TOP TEN
Week end uanza Ijumaa hivyo kama kawaida yangu baada ya kuijngiza mbuzi bandani kutoka malishoni nikashtua togwa kidogo na vitumbua vya 300/= na kujisikia fresh...Now nashusha 10 kubwa zen naendelea na starehe zangu
.
.
Km kawa Ijumaa hatujadili siasa wala uchumi
Hakuna ubishi kwa Tanzania Mama Salma Kimwete ndo First Lady mwenye mvuto wa sura na umbo kuliko wote ....huyu mama Janet ana sura ngumu jamani

Sasa basi nakuletea Mafirst Lady 10 wenye mvuto zaidi barani Afrika kwa mwaka 2016 hivyo wengine inawezekana wameshaondoka Ikulu
Karibuni
.....
Karibu mkuu
 
Unaongea kwa kujiamini saaana....

Anyway, karibu jf mie naitwa Sakayo mke halali wa T, dadake Shunie na shemeji wa watu wote humu ndani....

Asante kwa kunipenda ila mie tayari ni mke wa mtu!!!!

Karibu jf kuwa free, ila heshima iwepo...... Nakukumbusha tu mie ni mke wa mtu.....


Take care
Thanks kwa kujali sakayo.

Kiukweli nimependa sana unavyojali mrembo.

Kuhusu kuwa mke wa mtu sipingi hilo japo liko nje ya mada kidogo ila siyo mbaya kukumbushana.

Kadhalika, kuhusu suala la kuheshiminiana hakika nakuheshimu sana maana nisipompa heshima mrembo kama wewe nitampa nani?

Pia mtoto mzuri kama wewe ambae kila mwanaume humu ndani anatamani kuwa na wewe huwezi ukakosa mwanaume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom