Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Shedebe yuko wapi?Uwe unakuja kwangu nikupoze machungu ya kukosa maua![]()
HahahaNimeokotoza tu mdau
Jonax ndo alikuwa bingwa wa kuzileta humu
Labda wajuzi watujuze![]()
![]()
.......
Like a tiger in the jungleA brave man is the one who fightalone
![]()
Jioni tunakukumbushaBhanaaa mbona mnataka mm niishii kwa stress![]()
![]()
![]()
Ntakuadithia jionii make nina namba zake
Mbona hujsnipigiaa??
Simu
Nimesahau
Mama D mbona unanifanyia hivooo??Baba D nakusalimia mimi hivi utapigiwa simu na wangapi baba angu
Dada angu mie kuna mtu nataka umnyonge nakutumia kila kitu chake pmHuyo anayeniita ndo kwanza namuona leo, akuje na ID ya zamani nimtambue vyema..... Kinyume na hapooo ameagizwa tuu huyo!!!!!!
nina moyo mie ujueUtawezaaa??
Niachee kipenziiiJioni tunakukumbusha
Cc ObeUwe unakuja kwangu nikupoze machungu ya kukosa maua![]()
Mama mchuchu shikamoo mamaMbarikiwe Ramadhan Kareem
Shemeki za mchanaNiko poa
Alitaka kunyongwa janaa.....Dada angu mie kuna mtu nataka umnyonge nakutumia kila kitu chake pm
