Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Wakuu habari za saivi
Ni dongo tosha kwa hawa wahamasishaji wa utajiri waliojaa kila kona. Mtu anakufundisha kanuni tano zitakazokufanya utajirike wakati yeye mwenyewe ukimwangalia hoi balaa. Na Mara nyingi unakuta ni mambo tu common sense wakati tayari wameshakutwanga 30,000. Ni afadhali nisome mawazo ya Masiriwa (bilionea wa Zimbabwe) au ushauri wa Mkinga milionea Shedede kuliko wa hawa wasaka tonge wenzangu.Huu ujumbe umenifanya nicheke kwa leo
Pole sana mdauNi kweli Madenge. Mtoto wa dada na my best friend alizama na ile meli ya M.V Skagit na mpaka leo hatujui aliko. Kifo shwaiiiin kabisa!
Habari ya cku kakaPole sana ila mi nina rambi rambi nitafikishaje
We si ulisema kwenye ule uzi wako kwamba umewaramba wote... Sasa mbona watongoza tena... Au huyu ni miongoni mwa wale wawili.rubii ,fungua pm nikwambie yaliyo moyoni mwangu
Hbr ya kushinda mke mweee,hali ya hewa ilichafuka mchana humu ndani palikuwa hapakalikihahhaha nilijua tu ni mgeni na Lee wewe

Yaani muoga hivo hata simtakiUsiofu anaohgeaa tu hajakuonaa
Ni kweli. Amalizie msiba salama next time tutatoka naeUtakunywaa tutalipaaa uzur shunie bado msiba hauruhusu atoke
Sasa mbona ulisema nije na pesa yangu? Acha hizo au umeshalewa tayari?Pesa ninazo, mshahara umetoka. Au hujauona mwezi siku za hivi karibuni?
Duh nyakunyaku tena!ila we ni nyakunyaku
Kumbe unataka ofaSasa mbona ulisema nije na pesa yangu? Acha hizo au umeshalewa tayari?

Anayenitoa out lazima alipe. Siku nikimtoa nitalipa mimiKumbe unataka ofa![]()