Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/"Hound Dog" Taylor
dfbb7e47508983fe13a930d1afb68378.jpg
7c2d8c747b3af4bc4cd8c4250db2c9b2.jpg

Jina lake kamili ni Theodore Taylor..alizaliwa akiwa na vidole 6 mkono wa kushoto
Ni mwanamuziki na mpiga gitaa wa Kimarekani aliyetamba na wimbo wa Natural Boogie
Kibao kingine ni House Rockers
.....
 
Huu ujumbe umenifanya nicheke kwa leo
Ni dongo tosha kwa hawa wahamasishaji wa utajiri waliojaa kila kona. Mtu anakufundisha kanuni tano zitakazokufanya utajirike wakati yeye mwenyewe ukimwangalia hoi balaa. Na Mara nyingi unakuta ni mambo tu common sense wakati tayari wameshakutwanga 30,000. Ni afadhali nisome mawazo ya Masiriwa (bilionea wa Zimbabwe) au ushauri wa Mkinga milionea Shedede kuliko wa hawa wasaka tonge wenzangu.
 
8/Gemna Arterton
c60eb5d358cd17ba82e9bd454eabd62b.jpg
ae6167895fa86f3e00737b663b735217.jpg

Huyu ana vidole 6 mikono yake yote miwili
Ni mcheza filamu aliyeshiriki filamu kadhaa mfano filamu ya James Bond iitwayo Quantum of Solace
Zingine ni Clash Of The Titans,Prince of Persia,Tamara Drewe na The Sands Of Time
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom