Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nilimanishaa vidudu ....vibaragala alafu ulikuwa unaviwekaa mfukonii wote unajaa mafutaa

Kiukweli aunt ysko simuweziii kanikomeshaa

Ila leo yule muhudumu atujibu swal letu ...kipi bora kuwaza bia ukiwa kanisani au kuwaza Mungu ukiwa bar ?? Siku ile tuliishia njian

Ha hahahhahah, yule muhudumu nilijua alikujibu ulipomsindika nyumbani kwake!!! Anway kama hakukupa jibu leo atatujibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom