Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
...mimi mwenyewe samtaimz simuelewi kabisa. Nikishachangamka huwa nahisi BH kwa namna anavyoandika kistaarabu labda anapaswa awe ananidai kodi kwa kumpenda
mama mchuchu ukuje
...mimi mwenyewe samtaimz simuelewi kabisa. Nikishachangamka huwa nahisi BH kwa namna anavyoandika kistaarabu labda anapaswa awe ananidai kodi kwa kumpenda
mama mchuchu ukuje
sawaTunasindikizana sababu njia ni mojaa
Na 17 uliyosema kachukua nikukopee ??....uzuri simu nilikuachia, akakutana wallet yenye bizicards za mshauri nasaha, askofu, mchungaji, najua alijilaumu sana
Mange anakupotoshaahuyu ivan kifo chake mara waseme hajafa
Whatsapp money

UpiiiShem Umeanza lini uongoo
Wote tunakufa ila tunazikwa tofauti wengine makaburi ya zege wengine ya kawaida(kwa Waislamu wote huzikwa sawa)Kifo - The Great Equalizer. Yaani hata uwe tajiri kiasi gani siku zako zikifika ni lazima uondoke tu. Waliobaki wataweka mbwembwe wee mara champagne, mara pesa, mara vito kama mafarao lakini you are dead!
Nimeona vimbwanga vya Ivan mume mwenza wa Mondi hapa. Yaani alikuwa anaagiza Fiji Water kwa ajili ya kuogea na alikuwa anadai ndicho kilichokuwa kinampa ngozi nyororo. Fiji Water inasemekana ndiyo maji safi zaidi duniani na kidogo ghali. Kachupa kamoja hako kanaweza kuuzwa mpaka dola 3. Imagine kujaza bathtub nzima tena mara tatu kwa siku. Ni kweli kula maisha kifo chaja. Apumzike kwa amani tajiri huyu kijana mwenye machachari!![]()
kwa no ipiMwambiee anipigiee
Safar na mzikiiiNa safari moja huanzisha nyingine
sawa binamu masindikizano mema mana wengine wakilewa huwa zinashuka hukoSikusindikizwa mimi lakini, usinangushie mbuyu kana kwamba humjui aliyesindikizwa.
Bontelkwa no ipi
MhAnampenda kinomaaa
toka tu huwa sijafundishwa kubishana na mumeNatokaaa
hivi binamu unanichukuliaje lakini
ananichukuliaje mimiBhinamu akuchukue wapi sasa
ni kweli na mwisho wa safari inakua....Na safari moja huanzisha nyingine
binamu nakuona tu kila siku cheusi mangala
Huu ujumbe umenifanya nicheke kwa leo