Makapuku Forum

Makapuku Forum

6c2ef1fdff843a285be280fb998001da.jpg
 
Wakuu mnavyohangaika kujibu post za watu wapuuzi ndo unavyotimiza lengo lao la kuichafua thread
Nawaomba mpuuzie mambo ya kipuuzi
Mimi nakuwa mfano kwa kutojibu ishu za kijinga zote
Siyo kwamba sijaziona
Mnachoweza kufanya ni Kureport
Moderator anajua kazi yake
......
Achana nao mkuu..

You don't to disturb your equillibrium
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom