Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Whatsapp moneyamesema ana rambirambi anafikishaje
Whatsapp moneyamesema ana rambirambi anafikishaje
Weeeeeeeeee nije na hela zangu????? Lee usije tena bwana..binamu yako hana pesa!
ujue Sakayo amenipigia anadai vitu vyake ulivyomwambia ninavyo usiwe unanitaftia kesi banaUsitokee pale kona napita now ...ila naomba kama hujanipigia kile kimin sketii urud ukitupiee naujua ugonjwa wa bhinam angu
Binamu anamtaka mama mchuchu tuNdo tumsaidiee bhinamu sasa
ila we ni nyakunyakuBinamu yako hana hela. Basi tutuke mi na wewe. Nina ushauri wa kukupa!
Sijui banaDemi je??
mnasindikizwa na wahudumu mpaka nyumbani ni beer gani hizo binamu
Mwambiee anipigieeujue Sakayo amenipigia anadai vitu vyake ulivyomwambia ninavyo usiwe unanitaftia kesi bana
binamu nakuona tu kila siku cheusi mangalaSikia hii, tulikuwa mahali tunaangusha moja moja, mimi, anko na cheusi mangala mmoja bonge bonge
Mjomba: ...kwa hiyo unasemaje sasa, tumekubaliana kuhusu malavidavido
Cheusimangala: ...subiri nikajifikirie nitakupa jibu''
Mjomba: ....jipe muda wa kufikiria bili ya ulichokunywa utajilipia.
Mimi: Nitamlipia mimi
Baada ya kukamilisha muamala nikaondoka na cheusi, mjomba akaondoka na yule mhudumu

na wewe sitaki utokeUtakunywaa tutalipaaa uzur shunie bado msiba hauruhusu atoke
Anampenda kinomaaabinamu nakuona tu kila siku cheusi mangala
hivi binamu unanichukuliaje lakiniooooh, poor me. Sijui nilisajisahau vipi, kwanini ulichelwa kuniambia kuwa utaulizwa maswali
Unataka uwe bubu kulee make ukiongea tu harufu

Natokaaana wewe sitaki utoke
Shem Umeanza lini uongooNdo tumsaidiee bhinamu sasa
Mbona ya binti mwajuma wako huyasemii ...??
Au umesahau alivyokuibia wallet usku pale tupendane gest
Bhinamu akuchukue wapi sasahivi binamu unanichukuliaje lakini
huyu ivan kifo chake mara waseme hajafaKifo - The Great Equalizer. Yaani hata uwe tajiri kiasi gani siku zako zikifika ni lazima uondoke tu. Waliobaki wataweka mbwembwe wee mara champagne, mara pesa, mara vito kama mafarao lakini you are dead!
Nimeona vimbwanga vya Ivan mume mwenza wa Mondi hapa. Yaani alikuwa anaagiza Fiji Water kwa ajili ya kuogea na alikuwa anadai ndicho kilichokuwa kinampa ngozi nyororo. Fiji Water inasemekana ndiyo maji safi zaidi duniani na kidogo ghali. Kachupa kamoja hako kanaweza kuuzwa mpaka dola 3. Imagine kujaza bathtub nzima tena mara tatu kwa siku. Ni kweli kula maisha kifo chaja. Apumzike kwa amani tajiri huyu kijana mwenye machachari!![]()