Binamu wewe...Unacheza na limbwata wewe?
wote mnamakosaMwenyewe nashangaa, ubaya wetu sisi uko wapi. Makosa unafanya wewe, unaombwa msamaha.
Mimi sihusiki chochote, dereva kasababisha ajali kosa anapewa taniboi
yale yale ya kina tupac inavyosemekana lakiniWameigiza? Au ni yale yale ya akina Tupac Shakur?
Ni dongo tosha kwa hawa wahamasishaji wa utajiri waliojaa kila kona. Mtu anakufundisha kanuni tano zitakazokufanya utajirike wakati yeye mwenyewe ukimwangalia hoi balaa. Na Mara nyingi unakuta ni mambo tu common sense wakati tayari wameshakutwanga 30,000. Ni afadhali nisome mawazo ya Masiriwa (bilionea wa Zimbabwe) au ushauri wa Mkinga milionea Shedede kuliko wa hawa wasaka tonge wenzangu.

Pole sana msukumaNi kweli Madenge. Mtoto wa dada na my best friend alizama na ile meli ya M.V Skagit na mpaka leo hatujui aliko. Kifo shwaiiiin kabisa!
mke mwee za ww kuna story mpya imeanza entertainmentHabari ya cku kaka
Aisee7/Robert Chambers![]()
![]()
Huyu alikuwa ni mwanajiolojia,mhariri wa habari na mwandishi wa vitabu kutoka Scotland
Alikuwa na vidole 6 katika kila mguu na mkono wake
Yaani alikuwa na vidole 24
.......
Unafanya biashara gani tukuungishe.Ngoja niendelee na biashara zangu maana muda ni mali
na kwako pia JimenaNawatakia jioni njema na weekend njema
Y O LO
Poa shemela mbona unsalmia mara mbilimbili kulkoniWakuu habar
Inaitwaje hyo jamanmke mwee za ww kuna story mpya imeanza entertainment

Njema dadangu za majukumuHabari ya cku kaka
Afande wa kujiongeza mzimaWakuu habar
OyooooNgoja niendelee na biashara zangu maana muda ni mali