Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Wadau inajulikana kwamba idadi ya vidole mkononi au miguuni ni 10 yaani kila mkono au mguu ni vidole vitano
Ila wapo wanaozaliwa na vidole zaidi ya 10 miguuni au mikononi
Sasa tuangalie watu 10 maarufu waliozaliwa na vidole zaidi ya 10

NB
wapo ambao walizaliwa navyo zaidi ya 10 lakini hawakujikubali na hivyo kuviondoa ila pia wapo matajiri ambao waliviacha tu km vilivyo

Karibuni
.......
 
TOP TEN
Wadau inajulikana kwamba idadi ya vidole mkononi au miguuni ni 10 yaani kila mkono au mguu ni vidole vitano
Ila wapo wanaozaliwa na vidole zaidi ya 10 miguuni au mikononi
Sasa tuangalie watu 10 maarufu waliozaliwa na vidole zaidi ya 10

NB
wapo ambao walizaliwa navyo zaidi ya 10 lakini hawakujikubali na hivyo kuviondoa ila pia wapo matajiri ambao waliviacha tu km vilivyo

Karibuni
.......
Asante
 
TOP TEN
Wadau inajulikana kwamba idadi ya vidole mkononi au miguuni ni 10 yaani kila mkono au mguu ni vidole vitano
Ila wapo wanaozaliwa na vidole zaidi ya 10 miguuni au mikononi
Sasa tuangalie watu 10 maarufu waliozaliwa na vidole zaidi ya 10

NB
wapo ambao walizaliwa navyo zaidi ya 10 lakini hawakujikubali na hivyo kuviondoa ila pia wapo matajiri ambao waliviacha tu km vilivyo

Karibuni
.......
Tuko wote
 
10/Antonio Alfonseca
ddc0f6c9e6287d36fe3b214d5a03d03f.jpg
55c367effa04f058a70d8407c889a36f.jpg

Ni mcheza cricket wa Philladephia Phillies...Amezaliwa akiwa na vidole 6 katika kila mkono wake
Jamaa pamoja na kuwa na mkwanja ameviacha tu kama vilivyo..wenzake hupendelea kumuita The Octopus
........
 
Wote tunakufa ila tunazikwa tofauti wengine makaburi ya zege wengine ya kawaida(kwa Waislamu wote huzikwa sawa)
Wengine ukaushwa(nasikia Kambarage akiwa hai alikataa hilo)
Wengine uzama majini na maiti zao hazipatikani n.k
We are all equal but sameless
....
Ni kweli Madenge. Mtoto wa dada na my best friend alizama na ile meli ya M.V Skagit na mpaka leo hatujui aliko. Kifo shwaiiiin kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom