Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Sawa mkuu akija nitakuunganisha naeSijaona mkuu
Sawa mkuu akija nitakuunganisha naeSijaona mkuu
Nilimanishaa vidudu ....vibaragala alafu ulikuwa unaviwekaa mfukonii wote unajaa mafutaaNursery mimi sikusoma, umeanza kusahau, mimi nilisoma vidudu, huko tulikuwa tunaimba, kucheza, kunywa uji na kula vibaragala.
Ha ahahhaha, kama kazikusanyia zote chumbani bado haziko salama, azipeleke bank kabla mashetwain yako ya kula rambirambi hayajapanda Ijumaa hii😀😀😀😀😀
Asante kaka nimeshapoaDada pole na msiba
Zawad yako mpigieeSawa
Sawa ndugu.Niko njiani kumpata!mume wa mtu tafuta ambaye hana mke
bakulutu sa ngapi binamu au ni keshoAliponipa sikuuliza, wala sikuomba risiti.
Nimeuliza leo tena baada ya kuona mabadiliko kwenye bia ya safari, imekuwa sio chungu yaani wameweka sukari. Well, niko bia ya ngapi sijui/ Utaona huwa najiuliza maswali nikishapata kichochea maswali.
Hizi bia ninazokunywa huwa zinanipa maswali sana wakati mwingine najiuliza au huwa nafungua vizibo kimakosa, kwanini maswali na si majibu.???
Sawa ndugu.Niko njiani kumpata!mume wa mtu tafuta ambaye hana mke
Ujue haya mambo hayataki uharakaa ..ngoja tuongee na bhinamu kwanza utaelewa tunachomanishaaUnampigia pande binamu? Ha haaaa. Mi nataka kuchagua mwenyewe. Nilikuchagua wewe ujue..ila ndo hivyo!
Unampigia pande binamu? Ha haaaa. Mi nataka kuchagua mwenyewe. Nilikuchagua wewe ujue..ila ndo hivyo!
kila la kheri achana na waume za watuSawa ndugu.Niko njiani kumpata!
hahahhh kesi unagonitafutia sio ya nchi hiiZawad yako mpigiee
Pole sana ila mi nina rambi rambi nitafikishajeAsante kaka nimeshapoa
Naomba hela zanguujue unanitafutia kesi ya porini ni nini ulinipa
mume wa mtu tafuta ambaye hana mke
Ujue wewe bhinamu ni geniasiiiiii make nilikuwa nawaza akiniuliza risit najibujee ila kwa kuwa nilikukutaa ushafungua vizibo wala hukukumbukaaa...Aliponipa sikuuliza, wala sikuomba risiti.
Nimeuliza leo tena baada ya kuona mabadiliko kwenye bia ya safari, imekuwa sio chungu yaani wameweka sukari. Well, niko bia ya ngapi sijui/ Utaona huwa najiuliza maswali nikishapata kichochea maswali.
Hizi bia ninazokunywa huwa zinanipa maswali sana wakati mwingine najiuliza au huwa nafungua vizibo kimakosa, kwanini maswali na si majibu.???
Bhinamu fursa hii acha hizo ..au likes ndo umeamua ziwe rafiki yako....kama atatumia kinywaji atajigharamia