Makapuku Forum

Makapuku Forum

Morning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana

inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote

Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea
Nilikumiss sana kivuruge wangu

Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika

Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema
Pole kwa magumu unayo yapitia hakika mungu ata kusaidia
 
8f1e8c06a1baaba62c5da5064678eb60.jpg


Welcome back my shunie kama ni kukumis nimekumis haswa ila muhimu umerudi salama na wanafamilia yetu walikuwa wanakuombea sana

N.B..mke mwee wako alidai alisaidia kuosha vyombo ...hakutoa rambirambi

Na bhinamu yako Obe naye alisaidia kuchimba kaburi ...
izo nazo ni rambi rambi tosha
 
Mdau segment hii ipo humu + unbelievable facts ambazo zina ufanano

Sasa tangu uingie humu kila unachopost ni MARIDIO TU maana kilishawahi kuletwa humu
Pia haipendezi mrundikano wa vitu vinavyofanana wakati kuna mambo mengi tu mazuri ya kuletwa humu ambayo yatatusaidia kujifunza

Hivyo nakushauri utulie uifuatilie thread walau kwa wiki moja kisha utajua ni kitu gani humu hakipo ambacho utaweza kukileta/kuanzisha
Shukrani mdau
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom