Makapuku Forum

Makapuku Forum

Heshima kwako mdau, siku zinakimbia sana.

Niliona mchango wako kwenye maswali ya lee empire , ulijibu ukiwa very objective sana katika hli ambayo hukutaka kuja na jibu la JPM anastahili au hastahili halafu wengine waanze kukulabel kuwa uko upande usio wao.
Ulinikumbusha enzi hizo nasoma sana makala za jenerali Ulimwengu enzi za Rai halisi.

Pilika pilika zinabana na ndo maana unaona kuingia ni usiku sana au makingilima (asubuhi sana😀), nchi imevaa jeans kwa hiyo ni mwendo wa kujipanga kweli kweli.

Siasa ni maisha, huwezi kuikwepa, utaikuta kila mahali hata faraghani, utaikuta. Nitakuwa nashirikishiriki inapotokea.

Asubuhi njema.
Obe, makingilima na mahungulima tofauti yake ni nini
 
48c64af98e3bb5e879d2e2ccc0850e5b.jpg
 
MHUBIRI 7

8.Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake,Na Mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi

Asante Baba kwa Upendo wako mkuu hats kutuamsha salama tutunze,tulinde,tupe Leo njema

Roho Mtakatifu tuongoze katika kunena na kutenda ili tuwe baraka kwa wengine.
Tupe uvumilivu na Upendo kwa wenzetu.

Tunaomba na kushukuru Amen

SIKU NJEMA MBARIKIWE
Amen
 
Habari za asubuhi makapuku wenzangu! Kumekucha na kama kawaida tunachofanya ndicho tulichonacho (unakipenda au hukipendi.. a bird in the hand ...)

Asanteni sana shululu , lee empire BlessedHope kwa magazeti, UF na sala. Mnaifanya forum hii kuwa hai sana na mnatufanya member wa humu kuwa na afya njema (serious)

Shunie , sijui niandike nini ndo ujue kuwa nilikumiss sana humu, ulimisiwa na kila mmoja humu na tulilia na wewe msibani na baadaye tukasema haya ni maisha na yaendelee. Karibu sana, hakuna jipya ni yale yale labda upande wangu tu kuna mabadiliko kidogo, si sana

BH yupo na bado ninaridhika na asante, mkongo kaibiwa simu so maua yatanyauka tun, na shedede katuzuga na hadithi fupi isiyo na mwisho, tunaisubiri. Hey, karibu.

Tuwe na wakati mzuri Makapuku wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom