Makapuku Forum

Makapuku Forum

Morning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana

inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote

Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea
Nilikumiss sana kivuruge wangu

Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika

Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema
Karibu tena Shunie..

Pole sana!

We prayed for you..Hope you are okey now.
 
Morning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana

inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote

Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea
Nilikumiss sana kivuruge wangu

Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika

Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema
8f1e8c06a1baaba62c5da5064678eb60.jpg


Welcome back my shunie kama ni kukumis nimekumis haswa ila muhimu umerudi salama na wanafamilia yetu walikuwa wanakuombea sana

N.B..mke mwee wako alidai alisaidia kuosha vyombo ...hakutoa rambirambi

Na bhinamu yako Obe naye alisaidia kuchimba kaburi ...
 
Morning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana

inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote

Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea
Nilikumiss sana kivuruge wangu

Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika

Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema
Pole sana shemela

Karibu tena ukapukuni
 
8f1e8c06a1baaba62c5da5064678eb60.jpg


Welcome back my shunie kama ni kukumis nimekumis haswa ila muhimu umerudi salama na wanafamilia yetu walikuwa wanakuombea sana

N.B..mke mwee wako alidai alisaidia kuosha vyombo ...hakutoa rambirambi

Na bhinamu yako Obe naye alisaidia kuchimba kaburi ...
niliwaona mke mwee alikua busy na kuosha vyombo
binamu obe na marasta yake nilimuona alivyokua anahangaika na makaburi

Unaendeleaje lakini hope upo poa, halaf baby mwambie mke mwee na shemela nina kesi nao kwa nini walikucheka ulivyomwita Tumosa mke mwee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom