Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Ante kwa magazeti hnyMpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Chaplin
Nawatakieni wote siku njema na Mungu awabariki
Ante kwa magazeti hnyMpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Chaplin
Nawatakieni wote siku njema na Mungu awabariki
Asantee mkuuNUKUU YA LEO.
Because i grew up playing for Roma and i want to die playing for roma, because i have always been a Roma's fan
Kwa kuwa nimekuwa nikiwa naichezea Roma , nataka nife nikiichezea Roma kwa kuwa mimi nimekuwa shabiki Roma.
Maneno yalipatwa kusemwa na Francesco Totti mshambuaji wa time ya As Roma na taifa la Italia.
Totti anashikilia rekodi ya kuwa Captain mdogo katika ligi ya Serie A
Amekuwa mfungaji mwenye umri mkubwa kwenye ligi ya mabingwa ulaya.
Anashikilia rekodi ya ufungaji wa penati nyingi Serie A.
![]()
![]()
![]()
Muendelezo tuu wakuu..
Muwe na asubuhi njema.
Morning shemelaMorning
Morning shem darlingMorning shemela
Jaman mke mweeee pole kwa kuondokewa na wapendwa,njia ni yetu sote hyo Mungu akupeni nguvu na amani ya moyoMorning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana![]()
inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote![]()
Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea![]()
Nilikumiss sana kivuruge wangu![]()
Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika![]()
Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema![]()
hahhahah unampa pole ya niniPole sana aiseeeeh
AaaminIwe pia nawe ubarikiwe sana![]()
![]()
Welcome back my shunie kama ni kukumis nimekumis haswa ila muhimu umerudi salama na wanafamilia yetu walikuwa wanakuombea sana
N.B..mke mwee wako alidai alisaidia kuosha vyombo ...hakutoa rambirambi
Na bhinamu yako Obe naye alisaidia kuchimba kaburi ...
uchochezi shemela
Nyie nshawajuaa mnatakaa "upuuzi wa lee" mapemahahhahah unampa pole ya nini
Asante mke mwee nimeshapoaJaman mke mweeee pole kwa kuondokewa na wapendwa,njia ni yetu sote hyo Mungu akupeni nguvu na amani ya moyo

unakumbuka nilikwambia upuuzi wa lee mimi siutaki banaNyie nshawajuaa mnatakaa "upuuzi wa lee" mapema
Habari za asubuhi Shunie..... Pole Sana na misiba... Mungu akupe subira.asante mume kwa uf
uchochezi upi mke mwee![]()
![]()
uchochezi shemela
na wakati nilikuona unahangaika na masufulia
Ila mm huyo namuona mbaya shedy baby anasema mzuri kuliko husna ....![]()
si ndio jibu ulilokua unalitaka
![]()
niliwaona mke mwee alikua busy na kuosha vyombo
binamu obe na marasta yake nilimuona alivyokua anahangaika na makaburi![]()
Unaendeleaje lakini hope upo poa, halaf baby mwambie mke mwee na shemela nina kesi nao kwa nini walikucheka ulivyomwita Tumosa mke mwee![]()
