Naanza kuamini kuwa mtu akifikisha umri wa miaka therathini(30)anaanza kuwa mwembamba (begin to shrink)
Duuuh kumbe bob marley alikuwa na wife mzuri kama huyu
Kweli mala nyingi ukiuliza swali utapewa majibu yasiyo sahihi chakufanya weka jibu lisilo sahihi hapo utasahihishwa vizuri
Duuh ajabu
MorningMorning Lee
Sisi tupo pouw huk vipMorning
Asante mkuu kwa headlinesMorning family
HakikaMungu ni mwema Sana

Pole sna ni jaman la watu woteMorning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana![]()
inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote![]()
Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea![]()
Nilikumiss sana kivuruge wangu![]()
Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika![]()
Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema![]()
Asante mkuu ...TUPATE. DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Sakayo yupo...Na sisi tumemmiss SAKAYO. where is the lady T.... Au umesham-frustrate.
asante mume kwa ufWakuu tuwe na siku njema ...
Ila kumbuka...![]()
Anamzidi husna ??Duuuh kumbe bob marley alikuwa na wife mzuri kama huyu
Jesus
huyu Mzee Ndesa Pesa amefariki kweli nilikua mbali na ulimwengu