mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Yeah... That's very important.If God wishes
Yeah... That's very important.If God wishes
Salama tu Afande aliyejiongezaHabar yako?
Yeah... That's very important.

Mwenyewe nimesoma mala tatu bila kuelewaVery confused.... Or do not know English?
Amani iwe kwenu makapuku.... Usiku mwema.

Aisee, haya maelezo ya kiungwana sana hata kama kuna mkanganyiko wa manenoWakuu leo kuna mkanganyiko mkubwa wa data
Navyosonga mbele nakuta na kujiua pia kunahesabiwa
Sehemu nyingine kujua pekee
Hivyo naishia hapa maana siwezi kuandika kitu kisichojitosheleza au kilicho tofauti na utangulizi
Hivyo tukutane kesho
************************
Ni tatizo tu lililojitokeza hivyo litanikomaza na kunifanya nizidishe umaskini siku nyingine
Samahani kwa usumbufu na post nilizopost nadelete maana siku zote huwa naandika kitu kisicho na shaka au kupotosha
............
Ni kweli. Hasa ukizingatia kuwa hapa hatujuani personally. Uungwana huu unaonyesha kuwa he is a man of integrity and character, no matter what. Na hii inazidi kulipa heshima jukwaa hili.Aisee, haya maelezo ya kiungwana sana hata kama kuna mkanganyiko wa maneno
Iwe pia nawe ubarikiwe sanaAmani iwe kwenu makapuku.... Usiku mwema.

HahahaahaaAisee, haya maelezo ya kiungwana sana hata kama kuna mkanganyiko wa maneno
Mkuu umeiona arafa yangu??Ni kweli. Hasa ukizingatia kuwa hapa hatujuani personally. Uungwana huu unaonyesha kuwa he is a man of integrity and character, no matter what. Na hii inazidi kulipa heshima jukwaa hili.
==> Siku nyingi sijaona maoni yako kwenye mijadala ya kisiasa na mingine hapa. Jana wakati nikijibizana na mme wake na Shunie kuhusu ustahili wa rais wa sasa kutuongoza nilitamani kweli uingilie. Pengine ni pilika pilika kwa sababu hata topiki yako ya muziki kuna wakati huwa unaiahirisha. Tuko pamoja and good night!
ISAYA 57

Nimeiona ndugu yangu na mtani wa Kikinga. Asante sana. Una moyo mzuri kwa sababu mtu mwingine asingeweza kuwa wazi namna hiyo. Kuna kijana wangu alikosa mkopo wa chuo na ana juhudi kweli. Nitamuuliza afanye upembuzi yakinifu kuhusu soko halafu nitakutonya. Nakushukuru MNO !!!Mkuu umeiona arafa yangu??