Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Duh wanadamu hamna jemaaaSina wasiwasi na wewe.... Nina wasiwasi na huyo cuzoo wako.
Duh wanadamu hamna jemaaaSina wasiwasi na wewe.... Nina wasiwasi na huyo cuzoo wako.
Asante kwa nenoMHUBIRI 7
8.Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake,Na Mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi
Asante Baba kwa Upendo wako mkuu hats kutuamsha salama tutunze,tulinde,tupe Leo njema
Roho Mtakatifu tuongoze katika kunena na kutenda ili tuwe baraka kwa wengine.
Tupe uvumilivu na Upendo kwa wenzetu.
Tunaomba na kushukuru Amen
SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
anasema eti ana wasiwasi wa ww na shemeji yakoHakuna kitu bhanaa
Nina nia njema tu Linamo... UsiogopeDuh wanadamu hamna jemaaa
hhah cuzoo kumbe una mwanafunzi
Binamu niliwamiss pia na asanteni kwa kuwa nami kwenye kipindi hiki kigumu mbarikiwe sanaHabari za asubuhi makapuku wenzangu! Kumekucha na kama kawaida tunachofanya ndicho tulichonacho (unakipenda au hukipendi.. a bird in the hand ...)
Asanteni sana shululu , lee empire BlessedHope kwa magazeti, UF na sala. Mnaifanya forum hii kuwa hai sana na mnatufanya member wa humu kuwa na afya njema (serious)
Shunie , sijui niandike nini ndo ujue kuwa nilikumiss sana humu, ulimisiwa na kila mmoja humu na tulilia na wewe msibani na baadaye tukasema haya ni maisha na yaendelee. Karibu sana, hakuna jipya ni yale yale labda upande wangu tu kuna mabadiliko kidogo, si sana
BH yupo na bado ninaridhika na asante, mkongo kaibiwa simu so maua yatanyauka tun, na shedede katuzuga na hadithi fupi isiyo na mwisho, tunaisubiri. Hey, karibu.
Tuwe na wakati mzuri Makapuku wote
binamu mukongo kapoteza simu sasa hapo ndio pa kuchangamkia fursa binamu yangu flowers zirudi kwako ila usijal binamu yangu nimerudi kila kitu kitakaa sawaMorning my swiMorning sweetheart
Subiri Nyagei ajekwa nini shemela lakini
Asante sana BitozKwanza kabisa Shumie pole kwa msiba
Najua upo kwenye kipindi kigumu ila utavuka tu
Ndiyo maisha yalivyo
Nimefurahi kuona umerejea
Pili nawapongrza ambazo wameshashusha segment zao
Now tusubiri Dikteta
Niwatakie asubuhi njema wadau wote
........
nimeshapoa ubarikiwe sanaPamoja sana swiAnte kwa magazeti hny
ahha hivi yupo cuzoo kamuuliziaSubiri Nyagei aje
Morning linamoMorning all
Kipanya kauaKirat....![]()
Ila nini![]()
![]()
watu hawaangalii sura ujue
Shemeki vipMbona kawaida tu
Leo hautakuwa na blakeKarudii kicuruge changuu
Pamoja sana ipogoloSafii saaanaaa.
Yeye na mukongoMh
mshenga wako tena kwa nani
Mzungu anampima kwa lens (convex) Nyuma kamficha AK47. Hatari kwa nchi (watanzania wapiga kura).Kipanya kaua