King Adolfo Osaka
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 485
- 441
Hivi huwezi kutoa comments zako kistaarabu hadi utukane?ina maana development ya transport infrastructure sio kipimo cha maendeleo?
Huko kwenye vituo vya afya , kazini wanakoenda kila siku watumishi wangefikaje kama miundombinu ni ya hovyo? Acha upumbavu mkuu Murusi, acha upumbavu Murusi narudia tena Mkuu Murusi acha upumbavu! Aisee! Jiangalie sana we Murusi!
UPUMBAVU WAKO USIDHANI WATZ WOTE NI WAPUMBAVU KAMA WEWE HIVI BABA YAKO ALIVYOJENGA ILE NYUMBA MPYA PALE MSASANI NA MKATOKA MANZESE KWA MFUGA MBWA YALIKUWA MAENDELEO AU SIYO MAENDELEO ? NA ULIVYONUNUA PIKIPIKI UKAACHANA NA BAISKELI ULIYOKUWA UKIITUMIA YALIKUWA NI MAENDELEO AU SIYO MAENDELEO KAMA HUJUI MAANA YA MAENDELEO NI BORA KUKAA KIMYA KULIKO KUPOSTI UPUMBAVU WAKO HUMUHeshima kwenu.
Hebu piga Picha nchi kama Marekani au na zinginezo zingeanza kuorodhesha vitu walivyo fanya kama kijenga Barabara na ndege na Magari ya wagonjwa ingekuaje?
Maendeleo hupimwa kwa Ukuaji wa Uchumi wa nchi hasa kwenye.
- Kupunguza tatizo la ajira.
-Kukuza vipato hasa wa vipato vya chini.
- Mifumo ya Afya ya jamii
- Mishahara ya watumishi wa umma.
- Pension za wastafu.
-Mifumo ya elimu
Sasa huku kila siku ni Madaraja na Reli. Je vipi mifumo ya Afya ya Umma? Vipi swala la ajira? Vipi vipato cya watu hasa wa chini? Vipi pensheni?
Haya ndo mambo yanayo paisha serikali zote Duniani na sio hii ya mabwawa mabayo muda wowote inaweza potea, bwawa linaweza bomoka, ndege zinaweza potea ila ukiweza kwenye Ajira au Afya au Mishahara ya watumishi hivi vitaishi milele.
Umjibu mpumbavu sambamba na upumbavu wake asije kujiona ni mwenye hekima machoni pake.Hivi huwezi kutoa comments zako kistaarabu hadi utukane?
Tushawazoea nyie ,walalamikaji kwa kila kitu.enzi za jakaya madaktari si walifikia hatua ya kugoma,akatekwa yule jamaa ulimboka ,umewai skia mgomo wa madaktar awamu hii? Hakuna! Which means wako vzr.issue ya unemployment ni dunia nzima haitokaa itokee siku kukawa na full employment.Priorities zimehama kutoka maendeleo ya watu kuwa ya vitu, kwa ishu ya afya mimi sifagilii sana takwimu za kuongezwa zahanati na vituo vya afya kutoka so.. kwenda so.., badala ya kuongeza madaktari na kuwalipa vizuri. Kwa uelewa wangu daktari anaweza kuwaandikia wagonjwa dawa hata akiwa amekaa chini ya mwembe, lakini jengo tupu la zahanati au hospitali kamwe halitaweza kumwandikia mgonjwa dawa.
Hapa tunaongelea priorities, kwani kwa hii miaka minne hao madaktari wao wamepata nyongeza za mishahara, kwa hiyo kwa sababu hawajagoma you think they are so satisfied!Tushawazoea nyie ,walalamikaji kwa kila kitu.enzi za jakaya madaktari si walifikia hatua ya kugoma,akatekwa yule jamaa ulimboka ,umewai skia mgomo wa madaktar awamu hii? Hakuna! Which means wako vzr.issue ya unemployment ni dunia nzima haitokaa itokee siku kukawa na full employment.
Kama hawajaridhika unataka waulizwe mmoja mmoja kama wameridhika, hata hivyo toka lini mtu akaridhika na fedha anayoipata vitu vingine tujifunze kuanzia nyumbani tulipo ndipo tuje huku jamviniHapa tunaongelea priorities, kwani kwa hii miaka minne hao madaktari wao wamepata nyongeza za mishahara, kwa hiyo kwa sababu hawajagoma you think they are so satisfied!
Tanzania hii hii ambayo JPM ni gumzo kila pembe ya duniaTanzania ipi mkuu?
Alienda hapa πππLumumba mnatia aibu sana! Yeye kazungumzia suala la unafuu wewe unaleta habari za huduma bora za afya!! Na ukifuatilia mjadala unahusu gharama za juu za Afya ndani ya US!
All in all, utakuwa unachekesha kama unadhani huyo jamaa alienda Mwananyamala Hospital!
Ratio ya madaktari kwa wananchi ukanda huu Tz ndio inaongoza kutoka nyuma, yaani hata Burundi wamewapiku. Au ulimaanisha huduma ya afya kutoka kwa Babu wa Loliondo?
That was during the doctor's strike.Tanzania to send 500 doctors to Kenya β DW β 03/19/2017
Tanzania has announced a plan to send 500 doctors to Kenya after a doctors' strike paralyzed health services in the neighboring country for months.www.dw.com
We were about to help you like how we do on foodstuffs
We kenge unajua watanzania wangapi wanaweza kuilipa hio $86?
Just like that
Huyu kaguswa na serikali ya awamu ya 5 chini ya JPM, huduma za afya Tanzania ni classic.
So we have many doctors at work and standby reserve in case some corrupted jungle like Kenya is in crisis, they are free to act.That was during the doctor's strike.
Alafu usijipige kifua! Watanzania hawajawai tupea mihogo