Mama yangu mzazi si mpumbavu ndiyo sababu hawezi kumsifia mzinzi, mwizi, fisadi, muuaji eti ni rais wa aina yake hapa duniani. Kama huna cha maana cha kuandika kaa kimya badala ya kuonyesha UJUHA wako hadharani wa kumsifia huyo MUOVU wa kupindukia.
Upumbavu wa mama yako sio huo, yeye upumbavu wake anaufanyia chumbani.
 
bora mama yangu anaufanyia chumbani kuliko mamaako hadharani tena mchana kweupeeee
Kawaida wanatumia mkono wa kushoto kushika na kuelekeza dushelele, yeye anatumia mkono wa kulia na akimaliza anaenda kukupikia chakula bila kunawa mkono. Hahahaha, hahahaha.
 
Akili zako ndipo zilipoishia hapo. Wahi mtaa wa lumumba kesho asubuhi ukawaambie nimemtukana yule BAK wa JF wakupe buku 7 zako. 😜😜😜

Kawaida wanatumia mkono wa kushoto kushika na kuelekeza dushelele, yeye anatumia mkono wa kulia na akimaliza anaenda kukupikia chakula bila kunawa mkono. Hahahaha, hahahaha.
 

Ni nani anayeweza kupinga kwamba utendaji Kazi wa Magufuli hakuna rais yeyote hapa duniani kwa sasa anayeweza kumfikia?.

Tunakubali kwamba yako mapungufu katika uongozi wa Magufuli, lakini kwa ujumla ni kiongozi bora kabisa kwa sasa.

Kenya News and Politics, how is this relevant here?
 
Enlightenment Tunatimiza miaka 57 toka tupate uhuru ila maadui wakuu UJINGA,UMASIKINI na MARADHI hatujaweza kuwaondoa alafu wewe unakuja na porojo za kipumbavu,nani amekuroga?
Hii ni sawa kumkuta Kijana anayetoka kwenye ukoo wa kimaskini akifanya jitihada za kujitoa kwenye umaskini wewe una mwambia "acha kujibidiisha uta fail tu kwakua umaskini kwenu upo toka enzi"! Inshort huo ni uchawi
 
kuna mambo uwa yanakosa mwendelezo na waandishi wa habari sijui waoga.

kule lile sakata la CT SCAN sijui pale muhimbili kwa msukumo ule niliamini huenda gharama itashuka na walau kifaa hicho kitafungwa kila hospitali ya mkoa
Nini Muhimbili Kajionee Bugando
 
Wakati Uhuru akizunguka duniani bila sababu za msingi, Jamaica na visiwa mashuhuri kwa kulima bangi na ulevi wa pombe, Magufuli anapenya katika mabati kufuatilia miradi yenye kusaidia wananchi wanyonge. Hahahaha, hahahaha, hahahaha.
 
Akizungumza jana wakati wa uzinduzi wa Kiwanda
cha kutengeneza mabomba Vingunguti jijini Dar
es Salaam, alieleza jinsi alivyoshangazwa na
Watanzania walioshangilia mkasa ulioikumba
ndege hiyo ambayo imenunuliwa kwa kodi za
wananchi.
“Wasaliti walikuwapo tangu enzi Mungu
alipoumba dunia akatengeneza malaika, wengine
wakagoma ndiyo mashetani wanaotusumbua
huku, kwa hiyo wapinzani hawawezi wakakosa,”
alisema Rais Magufuli. “Inashikwa ndege ambayo
imenunuliwa na baba yake na mama yake, yeye
anashangilia anashindwa kuelewa kuwa ile ni
fedha ya baba yake na mama yake, kuelewa ni
kodi ya Watanzania maskini, kwa kutokujua kwa
kutumiwa anashangilia afadhali imeshikwa
ndege,” alisema. Aliwataka waelewe kuwa ndege
siyo ya Magufuli bali ni ya Watanzania. “Mimi
nikifa leo ndege itabaki pale, inawahudumia
wengine wanawahisha wagonjwa, Kigwangalla
(Hamis) anaitwa waziri kwa sababu ya watalii,”
alisema. “Unaweza kujua huyu amepungukiwa
kichwani, siyo mtu wa kawaida amepungukiwa
kichwani, wewe uwe na duka kijijini liibiwe mtoto
akashangilie, utamuona huyu mtoto ana kasoro
kwa hiyo wenye kasoro wapo tuwasamehe,
tuendelee kuwaombea.”“Baba Askofu muendelee
kuwakemea mashetani yawatoke kichwani mwao,
Masheikh muwasomee dua wakatambue Tanzania
ni makabila yote, vyama vyote na kwamba
maendeleo hayana vyama tunataka tuitoe nchi
ilipokuwa iende mahali fulani nilishawaambia hii
ni donor country.”
Alisema kupitia kodi za wananchi zimejengwa
hospitali 352, pia Sh. bilioni 23.863 kila mwezi
zinatumika kwa ajili ya kugharamia elimu ya
watoto.
Alisema katika mapambano wasitegee kupendwa.
Lazima kujitegemea kwa nguvu za nchi.
 
Back
Top Bottom