Tutapewa Noah tukilipwa hela zetu za Makinikia
Wenzetu wanatudai billion 90 lakin wanapiga kelele dunia nzima.
Sisi tunadai trillion 400+ lakini tumejifungua chumban tunafanya mazungumzo na mwizi.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Kuiba pesa za rambirambi

Kuwanyamazia viongozi wenye vipele sugu. (Makox pamoja na kale ka Arusha)

Bomoa bomoa
 
Wenzetu wanatudai billion 90 lakin wanapiga kelele dunia nzima.
Sisi tunadai trillion 400+ lakini tunejifungua chumban tunafanya mazungumzo na mwizi.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Shiiiiiiiiii.
Kwa masilahi ya Taifa.
 
Hahahahahb,,,,,,KUHUSU VYETI FEKI HAHAHAHAAHH VYETI FEKIIIIIII HAHAHAHA KWELI KWAHILI RAIS WANGU NAMPA BIG UP SANAAAAAAAAAAAA .


HAMNA CHA UJANJA UJANJA TENA.
 
Rais Magufuli anafanya kazi sana, anaijenga Tanzania mpya yenye uchumi wa kati kupitia viwanda
 
JPM ni kiboko kabisa. Yale tuliokuwa tunataka Ukawa wayafanye ndio anafanya yeye, kwanini nisimpende? 2020 Kura yangu kwa Rais Magufuli
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
Mjadala huru hauwekewi mpaka.Wenye kuona mafanikio ni vyema.Hali kadhalika wenye kuona tofauti wpewe nafasi!

Nilichobaini na kukiri tangu aanze kupanga magogoni ni pamoja na:
Katiba kunyongwa.
Siasa za visasi/chuki.
Uongo wa mchana(msema kweli,maendeleo hayana chama).
Unyang'anyi wa mali na haki za raia wa kawaida.
Ugumu wa maisha kwa walio wengi(mfumuko wa bei).
Uhusiano na wadau wa nje kimaendeleo kudorora.
Sinema na vituko vya ajabu ajabu(makinikia,mabehewa bandarini,vyeti feki/watumishi hewa,ulaji rambi rambi n.k.
Bomoa bomoa.

Mengine wataongezea wana jamii.
 
Twende tujue tulipo kama nchi yenye sera ya viwanda mpaka sasa tumejenga vingapi na vimepunguza tatizo la ajira kiasi gani na pia vimeongeza pato kiasi gani .kwa yeyote ambaye kiwanda kimejengwa kwake atutajie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom