Ajabu sasa shinda sio tena defence yetu kwa sasa mbali ni namna ya kupenyeza pasi kwa timu pinzani ina maana kiungo na pale mbele pamekufa kabisaaaa...

Leo nyumbani tumepata 1 shot target...

Yaani ni wachezaji sijui wamechoka nini maana walikua na karibia siku 4 kuja na mbinu mpya dhidi rejuvenated Chelsea.

Sub pia leo kachemka Klopp. Kiungo kilikufa badala amtoe Gini yeye kakibiria kumtoa Jones na Salah.

Klopp huu mtihani ni kama mwenyewe ameishiwa mbinu namna ya kujinasua...

Mfs and front is walking dead no real spark whatever lol...

Hivi najiuliza swali Mashabiki wa Chelsea, Manchester United na Arsenal walizoea vipi hii hali ya vipigo especially kipindi cha 2017 mpaka December 2020 maana haya mambo tulishasahau kabisa...

Upo uwezekano mpaka mwisho wa mwezi huu tukawa nafasi ya 10.

YNWA
Kwani Liverpool umeanza kuishabikia 2017?..
 
Sasa Rasmi Namuomba Radhi Adrian kwa lawama na Kejeli zote nilizomtupia.

Mwanzo nilidhani ni makosa ya Adrian kwa sisi kupata matokeo mabovu hasa kwenye mechi vs Aston Villa, kiukweli nilimtoa kafara huyu Mtumishi wa Mungu, lakini nilimwonea bure kumbe tatizo lilokuwa ni la Timu nzima yote ni mbovu.

Wasiokubali Ukweli wa Ubovu wa Timu yetu bado wamekuwa wakiamini Kuwa tunapata matokeo mabaya kwa makosa ya mchezaji huyu au yule.

Mfano:
  • Tulikuwa pamoja kumlaumu Adrian kwa matokeo mabaya.
  • Tulikuwa pamoja kumlaumu Firmino kwa matokeo mabaya.
  • Wakaja wakafanya mbuzi wa Kafara MO SALAH kwa matokeo mabaya.
  • Sasa wanamfanya Thiago ndiyo mbuzi wa Kafara kwa matokeo mabaya.
  • Wakimaliza na Thiago sijui watakwenda kwa nani!

FALSE HOPE KWA JOTA NA FABINHO

Wengi walikuwa wakimlilia Jota kuwa ataleta mabadiliko kwenye hili Timu but nashauri tusiweke matumani makubwa kwa Jota na Fabinho kupita kiasi wanaweza wasifikie malengo yetu.
 
Let FSG sell our club.

Klopp make alot of £ but they are not cash wish with their poor and unprofitable business model to our club but they earn much for themselves.
Some disappointment in life can be a blessing in disguise so haya matokeo especially Anfield ni ujumbe tosha kwa hao FSG kubadili hii business model.

Klopp kashawatumia ujumbe Juni 2021 ni Rebuilding the team especially MF na front line na defence pia. Sasa ni je hawa akina Origi, Shaqir, Milner, Ojo, Grujic, Wilson nk mauzo yao yataleta hio cash yakufanya kweli mapinduzi au je wenye timu watategemea Edwards shrewd tactics sokoni. Muda utasema.

Sokoni tunatajwa kuwahitaji wafuatao

Strika Erling Halaad kutoka Dortmond,
Strika Mbappe kutoka PSG
Strika Sarr kutoma Watford
MF Housem from Lyon ,
Mf Yves from Brighton
MF De Paul kutoka Udinese
MF Declan Westham
MF Lucas Ocampo from Sevila.
CB Elder Militao kutoka Real Madrid.
CB Greison Bremer kutoka Torino.
CB/MF Alaba kutoka Bayern.
RB Maxi Arons kutoka Norwich.
Nk nk nk.

Kwa hao wachezaji sioni mchezaji chini ya £15m hapo. Ina maana aidha pale mbele lazima kati ya Salah au Mane mmoja auzwe je kwa hii hali hasara vilabuni especially Real Madrid na Barcelona je wengine wataweza kutoa mpunga wa +£100m? Kuna PSG, Kuna Juventus, Bayern na Atletico Madrid angalau hawa wanaweza kutoa ofa japo sioni wakitoa £100m kwa vile na wachezaji wenyewe wame drop. Hivyo ile sell to buy ya FSG tunakwama mapema tu.

YNWA
 
Aisee Klopp kaishiwa mbinu kabisa so kwa sub zile.
Klopp tangu atue Kops haya ya sasa ni mapya kwake hajawai kua na hali hii kabisa na ndio sasa atuonyeshe ubora wake kwa wachezaji alionao na si kingine.

No excuses kukosa Big 4 yaani haikumbaliki japo dalili ndio hizo ndugu.

Nadhani alikomaa sana na defence na kusahau kule mbele hakuna magoli wala hakuna shoti on target za maana karibia kila gemu.

Gini na Thiago wapo hoiii... Huu ndio ulikua wakati mwafaka Klopp kujaribu new ideas maana hata same old ideas bado tunapigika vile vile yaani why not be bold have 3 5 1 1 akimuacha Salah awe lone strika au hata 4 4 2 nk maana same old same old 4 3 3 bila proper defence imekua ni janga kwetu.

YNWA
 
Liverpool's Thiago
insta_2522247357770646470.jpg
insta_2522247357787528830.jpg
 
Klopp tangu atue Kops haya ya sasa ni mapya kwake hajawai kua na hali hii kabisa na ndio sasa atuonyeshe ubora wake kwa wachezaji alionao na si kingine.

No excuses kukosa Big 4 yaani haikumbaliki japo dalili ndio hizo ndugu.

Nadhani alikomaa sana na defence na kusahau kule mbele hakuna magoli wala hakuna shoti on target za maana karibia kila gemu.

Gini na Thiago wapo hoiii... Huu ndio ulikua wakati mwafaka Klopp kujaribu new ideas maana hata same old ideas bado tunapigika vile vile yaani why not be bold have 3 5 1 1 akimuacha Salah awe lone strika au hata 4 4 2 nk maana same old same old 4 3 3 bila proper defence imekua ni janga kwetu.

YNWA


Klopp na mambo yake ya kukariri ,yeye (Klopp) amekariri kwamba lazima Firmino ampange Tisa na lazima Gini (Ambae hawezi kukaba) ampange 8 au 6
 
Soon mnaenda kuwa mid table timu ..

Level zenu manaenda kushindania nafasi ya 10 na arsenal ..

Uefa ,Europa mnaenda kuziangalia kwenye TV ..!

Mods fungeni huu Uzi ,mpaka miaka 30 tena ,hii timu mdogo mdogo inashuka chini kwenda championship..
 
Back
Top Bottom