Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,299
- 15,026
Na utopolo au club bruge ya Belgium?Timeshagongwa tayari! Timu zangu leo zote zinaniangusha sitaki tena!
Na utopolo au club bruge ya Belgium?Timeshagongwa tayari! Timu zangu leo zote zinaniangusha sitaki tena!
Tayari huko na utulivu wake.Thiago leo katulia sana.




Utajua mwenyewe mkuu!Na utopolo au club bruge ya Belgium?
Kakutana na watu washoka pale Kati kante na jorginho ndio maana kapotezwa ile mbaya.Thiago leo katulia sana.
11 games to go....REST IN PEACE LIVERPOOL.
Timu hata kuitazama inatia kinyaaaa hakuna cha maana zaidi ya Sideways passing.
Kante na jorginho wamemfanya kitu mbaya.Kiungo kimekufa
Thiago what's wrong with u maan????!!!!!
Timu yako ina vikombe vingapi jumla mpaka ujilinganishe na Bayern?Kubishana na timu kama Liverpool ni matumizi mabaya ya akil ,mid table timu ...
Level zangu ni buyern huko ..
Timu hata top four haiwezi kumaliza ,..
As usual Mkuu yale yale ya siku zote... Zuia Trent na Robbo na Liverpool inakua toothless lion ndio hili la leo...Kiungo kimekufa
Thiago what's wrong with u maan????!!!!!
Umepanic mzee!!!Timu hata Fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE haijawahi kucheza unajifananisha na Bayern kweli wewe ni Mzima kichwani Acha punyeto Mkuu inakupeleka pabaya.
Hoja ya kitoto sana kuhusu ubora wa Pep. Kwahiyo ubora wa Pep ili uonekane ni mpaka aipe Man City UEFA?Aston villa ana Champions 1 Manchester city anazo ngapi........Kama Pep ni Mwanaume kweli Akaipe Manchester city UEFA CHAMPIONS LEAGUE kwanza tuone jeuri yake.
Same mistake game after game after game,same players game after game after game ,Klopp is too stubborn.Hesabu za Klopp hua zinamwangusha mno.
Last match Kabak na Phillips walicheza vizuri considering hali ya sasa, nilitegemea leo Fabinho arejee DM na sio tena beki.
YNWA
SO WHAT????????Hoja ya kitoto sana kuhusu ubora wa Pep. Kwahiyo ubora wa Pep ili uonekane ni mpaka aipe Man City UEFA?
Ni mwendawazimu tu anaweza kumuona Pep ni kocha wa kawaida.
Tazama mpira!!!SO WHAT????????