Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,576
- 28,546
jamani jamani kumbe ilikua 'kweli' baadhi ya mashabiki wa Nando kusema Drogba alikua anamroga pale Chelsea....Jamaa alisha komplain kua hana mahusiano mazuri na baadhi ya ndugu zake huku afrika na wanamroga, i dont want make you to believe it or not lakini alishasema kua anarogwa na na baadhi ya ndugu zake baada ya kusajiliwa liverpool
kweli Afrika hakuna matata...