sijui lile HUG la Klopp lina effect kwa hawa wachezaji japo sio wote wapo waliobakia alipowakuta akina Hendo, Lovren, Lallana nk hawakuedelewa wame stuck kabisaaaa...
otherwise wengi wao wamekua moto wanaelewa somo nini wafanye na wakati gani wafanye, ni total game awareness, ufundishangi wa Klopp upo tofauti sana ndio hilo la kuwaona kama wachezaji wengine anaonunua ni wa kawaida lakini akishm profile mchezaji basi kinachofuata ni kum accomodate kikosini ili afit kwenye system...
ukiangalia namna alivyosuka hiki kikosi cha sasa ni kama mchezo wa Chess...all are well calculated players aliowaleta so far...imagine Keita akiwa mzima in full throttle weka hapo na Grujic...yupo na ndogo mmoja Allan mbrazil sijui alishauzwo....
Klopp huangalia mahitaji ya leona yajayo na yajayo ni balaa mno.bei za wachezaji hazieleweki kabisaaaa...
kua na kikosi ambapo Rhian, Origi, Keita hawapo kwa sasa na tupo kamili ni ishara we are heading somewhere nice, zamani hatukua na hio bahati ya kikosi kidogo lakini cha kazi kazi...ni ngumu kushindana mokombe yote lakini upo uwezekano kupata angalau mawili kati ya hayo matano msimu huu palipobaki...
kila mchezaji ana bei na endapo msimu huu tutapata EPLbasi wengi wao watahitaji new challenges hilo halizuiliki...lakini pia ni muhimu kua na wachezaji wenye kutaka kuwepo kikosini Anfield hapo tutafika mbali...akitokea yeyote ajifanye yeye ni zaidi ya timu basi ataodoka kama wengine na tutaedeleza mapambano....
Gini bana ni unsung hero wa Klopp..when he is song he is unstoppable...vs Ganaz, Vs Burnley ameonyesha some flashes za yule Gini tunaemjua...