Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
PSG wana Cavani, Mbappe, Neymar na wengineo....Champions League walifika wapi !? Wakati LFC wametinga fainali. Wewe viipi !?Sometimes Kutembelea Jukwaa Hili Huwa Nahisi Kuna Watu Hawaangalii Mechi Za Timu Yetu Bali Huishia Kuangalia Matokeo LiveScore...
Hivi Mtu anawezaji Kusema Tuna timu ya Kubeba ubingwa Wa #EPL ?
Kama unaangalia Mechi za Liverpool na Umekiona Kikosi chetu basi Ni wazi kuwa tuna Timu ya Kugombania Top Four tu na wala si ubingwa....
Watu wanajivunia Kuwa tumesajili Fabinho na Xhaqiri!!! Hivi wanadhani na Hao Kina Man United, Chelsea na Man City wamekaa tu wamerelax hawasajili kitu Bali wanatuangalia sisi tu tukisajili??
Tuweni serious jamani Kikosi chetu bado Ni Kidogo hakijawa na uwezo Wa Kugombania ubingwa.
Bado Kunahitajika Addition ya Zaidi ya Wachezaji 3 ambao Ni World Class au Talented ndiyo Tuweze kuwa na Kikosi cha Kuweza Kugombania Ubingwa.
Siko Mkamilifu #Muda unaweza kuniprove Wrong.