Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Japo msiba tumesababisha sisi ila kupeana pole ni jambo la kiungwana kabisa "poleni "
Hahahhahahaha unajua lazima tujue msiba unakaa wapi maana wapo ambao washaasi kambi. HahahahhahahahahImekaa kichokozi mtu wajua kabisa nyumbani kwa marehemu kisha wauliza msiba utakaa wapi!
Jumamosi Man u anakufa 2-1....
Nafikiri TAA anatolewa kafara. Lovren ameshindwa mara mbili kucheza mipira ya kichwa hali iliyosababisha Mpemba aonekane nyota na hatari mbele ya TAA.Tumecheza Vizuri...
Si Makosa ya Timu...
Si Makosa ya Kocha...
Ni Individual Mistakes za Trent Alexander-Arnold Ndiyo Zilizotufanya Tupoteze Mchezo...
Timu ina Consistency Nzuri tu...
Tujipange Kwa Next game...
[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
Pale pale kwake wacha nitoe taarifa rasmi japo si msemaji wa familiaHahahhahahaha unajua lazima tujue msiba unakaa wapi maana wapo ambao washaasi kambi. Hahahahhahahahah
Wasemaji wa familia wamejificha. Daaah tushapata jogoo la sikukuuPale pale kwake wacha nitoe taarifa rasmi japo si msemaji wa familia
Unamaanisha leo United wamekuwa watu wasiojulikana.. Wameteka SalahJapo msiba tumesababisha sisi ila kupeana pole ni jambo la kiungwana kabisa "poleni "
Nafikiri TAA anatolewa kafara. Lovren ameshindwa mara mbili kucheza mipira ya kichwa hali iliyosababisha Mpemba aonekane nyota na hatari mbele ya TAA.
Dhahiri ugonjwa wa mipira ya hewani unataka kurudi tena.
Mungu samehe tu sina cha kuongezaAfe mtu afe mmasai hawa nyumbu wanakufa hapo hapo old trashfordView attachment 710245View attachment 710246
Ushaur ndugu ukiona rashford au valencia wameanza kufunga goli la kwanza nendaga nyumban kalale hatujawah kupoteza wala suluhu kupata pale hata tungecheza siku 3 ubao ungebak vilevileWanaongoza tu hawa majamaa come on reds YNWA
Wazee wa kupes wameshindwa hata kufunga goli bailly hana roho mbayapoleni majirani jamani, wazee wa ku-pess
eti hakuna swali gumu kama kuwauliza lile goli lao kafunga nani.....sanasana wataishia kukusonyaWazee wa kupes wameshindwa hata kufunga goli bailly hana roho mbaya
Hii second place tutaichukua jumla Next week
Meci ya kwanza gomenzi alimkaba vizuri rashfodAlex bado kinda anaedelea kusoma...nakumbuka msimu uliopita mechi ya Traford alimnyamazisha Martial kabisa....leo ndio hivyo...al in al YNWA
Leo Liverpool imethibitishia Ulimwengu Kuwa inazifunga Timu Kubwa Na Kufungwa Vitimu Vidogo! Kwahiyo Leo tumefungwa Na Kitimu Kidogo cha Manure na Washabiki Wake Wamefurahi Kuifunga Timu Kubwa ya Liverpool.